kufungua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Hivi tunaweza kufungua kesi ya madai kwa Wazungu kutokana na nyara walizochukua Afrika?

    Wakati wa Ukoloni Wazungu waliwinda wanyama na wakisafurisha nyara bila ridhaa yetu. Pichani ni urembo wa vichwa vya wanyama na ngozi, haya yalikua ni mapambo ya kawaida kwa Wazungu matajiri. Wanasheria wanaweza kufungua kesi ya madai?
  2. N'yadikwa

    Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE) hamuwatendei haki waonyeshaji/wafanyabiashara kwa kuchelewa kufungua mabanda

    Tangu maonesho ya 2021 SabaSaba yaanze hapa Kilwa Road Dar es salaam hapa kwenye Banda la Karume wafanyakazi wa TANTRADE wanachelewa sana kufungua mabanda/Maholi makubwa wanafungua saa nne au saa tatu na dakika zilizozosonga sana. MADHARA YA KUCHELEWA KUFUNGUA Waonyeshaji wanakosa muda wa...
  3. jingalao

    Sheria au Sera gani inayotuongoza katika kufungua uchumi kwa hisani ya wawekezaji?

    Salamu! Ni vyema tunaposema kuwa tunaenda kufungua uchumi kwa kualika wawekezaji wa nje tuwe na sera mahsusi na sheria dhibiti zinazotuongoza katika utekekezaji. Iwapo Sera na Sheria zetu ni duni katika hili tutegemee kuanguaka kiuchumi. Je, Sheria au Sera ya kufungua uchumi kwa hisani ya...
  4. Darren2019

    Kwanini viongozi wa dini husoma sala kwenye karatasi wanapokaribishwa kufungua shughuli?

    Nimekuwa naona mara nyingi kunapokuwa na ziara ya rais wale viongozi wa dini wanaokaribishwa kufungua shughuli kwa sala/swala wanakuwa na vikaratasi wanakuwa wanavisoma, najua ntaambiwa eti ili wasikosee wakatamka visivyo, mara protokali n.k, Hivi kwenye sala/swala kiongozi anaweza kuteleza...
  5. Clark boots

    Tarehe ya kufunga na kufungua shule za serikali kwa likizo ya kumaliza muhula wa 1, 2021

    Waalimu naomba mnisaidie hii, Ratiba ya mwaka inaonesha ni tarehe ipi shule za serikali zinategemea kufungwa kwa likizo hii ya June 2021 na tarehe ya kufungua pia...?
  6. Sky Eclat

    Kibonzo cha Kipanya: Baada ya msiba kuna ambao wanaibuka na kufungua midomo?

    Kuna anae ongelea Ranch ya Taifa kuwa imekufa as if amerudi juzi kutoka Ughaibuni.
  7. F

    Serikali mtusaidie kufungua mifumo tupate mikopo

    Jamani serikali fungueni basi mifumo ya mishahara ili Maafisa utumishi waweze kuingiza makato ya mikopo,sasa imekuwa kero zaidi ya wiki mbili sasa watu wanashindwa kupata mikopo Benki kwani tatizo nini? Watu wanahitaji ada za watoto, kuna wagonjwa na mengineyo lakini mifumo haifanyi kazi wiki...
  8. tutafikatu

    Maajabu: Kusajili Domain yako kupitia UCC ya UDSM unapaswa ujaze fomu kwenye word document

    Kuna mambo fulani ukiyafikiria unaishia kuhuzunika tu. Ukienda University Computing Center ya University of Dar es Salaam, kama unataka usajili Domain Name kupitia UCC, unapaswa kujaza form iliyoko kwenye word format, kisha uwatumie. Ati hizi ndio taasisi za serikali zinazopaswa kutuondoa...
  9. Gamlemilwe

    Kujisajili kwenye Mfumo wa Ajira za TAMISEMI upande wa AFYA inasumbua

    Ninapata changamoto wakati wa kujisajili kwenye mfumo wa Ajira TAMISEMI ambapo nikifika hatua ya kuhakiki taarifa unatoka ujumbe wa kwamba Taarifa zangu haziendani na Taarifa za NECTA. Nimehakiki kila Taarifa ziko sahihi
  10. M-mbabe

    Raia wa kawaida nitafunguaje kesi dhidi ya mtu anayevunja Katiba ya Tanzania?

    Ni swali ambalo frankly speaking sina jawabu lake la moja kwa moja. Wabobezi wetu wa masuala ya Constitutional Law watusaidie. Alternatively, kama kuna uzi wowote humu jamvini unaotoa mwongozo katika hili please share. Mimi na wenzangu kadhaa tumedhamiria kwa dhati kabisa kufungua kesi dhidi...
  11. M

    Naombeni ushauri, mauzo yanapungua kwenye duka langu

    Jamani kwema leo nikuja kitofauti kabisa. Mimi ninapenda kufanya biashara, sijaajiriwa ila nimejiajri kupitia taaluma yangu(...) Lakini pia nina biashara ndogo ya duka lengo nikubusti maisha. Sasa imekuwa mwanzoni nikifungua biashara mpya huwa inalipa sana yaani utauza juu kweli lakini baada...
  12. ZOPPA

    Natarajia kufungua kufungua kesi mahakamani nimshtaki mkuu wa mkoa kwa uonevu dhidi yangu

    Husika na kichwa cha habari wana jf Mimi ni kijana mwenzenu ninae tafuta hela kwa hali na mali, mwaka 2013 nilifanikiwa kununua eneo lenye ukubwa hekari 25 wilaya ya Mvomoro kata ya Kimambira kijiji menge mwaka 2016 eneo hili nikawa nalima matikiti na nyanya nikawa najipatia mapato...
  13. Extrovert

    Nini kinakuogopesha kufungua au kufanya biashara?

    Watu wengi wanatamani kufanya biashara wengine wana mitaji kabisa sababu unakuta yeye ni mtumishi hela sio swala la kuuliza ila when it comes to starting a business anajikuta anasita sita au kupatwa na uoga na jakamoyo! Ijapokuwa kujiajiri na biashara ndio kitu ambacho kinaaminika kuleta...
  14. R

    Nataka kufungua kiwanda cha kuponda na kukatakata plastic Bottle (PET bottle crusher)

    Habar wana jamii forum polen na majukumu leo nimeona nije na hii mada ngumu naomba kwa wenye uzoefu mnipe mbinu na changamoto za hii biashara Nina mpango wa kufungua kiwanda cha PET BOTTLE RECYCLING kiwanda cha kusaga na kukata chupa za plastic nimeongea na kampuni moja ipo china jina kapuni...
  15. Morg

    Naomba ushauri, nahitaji kufungua biashara ya duka la nguo

    Habarini za masiku ndugu zangu, matumaini yangu mpo wazima kabisa kiafya kimwili na kiroho. Niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi ni kijana mwenzenu ambae nipo kwenye zone ya kuhustle kimaisha na pendekezo langu ni kuwa mfanyabiashara wa duka la nguo kati ya mikoa ya Arusha, Moorgoro, Moshi...
Back
Top Bottom