kibaha

Kibaha is a city, with a population of 128,488 (2012 census), located in eastern Tanzania. It is the capital of Pwani Region. It is located in Kibaha District, one of the six districts of Pwani Region.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Kiwanja Kinauzwa Kibaha kwa Mfipa million 3.2

    Kiwanja kinauzwa Kibaha kwa Mfipa(upande wa chuo) Ukubwa ni mita 20×20(sqm 400) Bei million 3.2 Hicho pembeni ya hiyo nyumba Kilomita 2.5 toka stendi Huduma zote zipo Umeme na maji ni kuvuta tu Kimebaki kimoja tu 0744757738 0784376888
  2. R

    Viwanja Vinauzwa Kibaha Maili Moja

    Viwanja Vinauzwa. Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa. Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu. Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021. Nyaraka: Vina Hati miliki. Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa. Gharama za kwenda kuona...
  3. G

    Boma Linauzwa Kibaha kwa Mfipa million 15.3

    Boma linauzwa Kibaha kwa Mfipa Vyumba vitatu(kimoja masta) Seble Dinning Jiko&stoo Choo public Shimo la choo bado kufunika tu Nyumba imejengwa kisasa sana Eneo ni 20×20 Bei million 15.3 tajiri 0744757738 0784376888
  4. The Watchman

    KERO Misugusugu Kibaha: Kiwanda cha kutengeneza pombe kinatiririsha maji machafu na kuzalisha harufu kali eneo lote linalozungukwa na Kiwanda

    Wananchi na wakazi katika eneo la Mleleguo kata ya Misugusugu, Kibaha mkoa wa Pwani tumekuwa na hali ngumu sana ilinayosababishwa na uchafuzi wa mazingira unaofanywa na kiwanda cha wahindi kinachozalisha Pombe kali, kwani muda wote eneo zima la Mleleguo limetawaliwa na harufu kali ya pombe kiasi...
  5. G

    VIWANJA/NYUMBA vinauzwa Kibaha kwa Mfipa

    Habari. Nina viwanja vinavyouzwa Kibaha kwa Mfipa jirani na chuo cha Mwalim Nyerere. Pia zipo nyumba zinazouzwa hapo hapo Kibaha kwa Mfipa. Unaweza wasiliana nami
  6. G

    House4Sale Nyumba inazouzwa Kibaha kuanzia million 9

    Nyumba inauzwa Kibaha kwa Mfipa Ina chumba seble Ina vyumba viwili milango ya nje Umeme na maji vipo Eneo ni 20×20 Imegusa barabara ya mtaa Bei million 9.8 0744757738 0784376888
  7. R

    Viwanja Vinauzwa Kibaha Maili Moja

    Viwanja Vinauzwa. Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa. Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu. Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021. Nyaraka: Vina Hati miliki. Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa. Gharama za kwenda kuona...
  8. Introv

    Wakuu samahani nauliza bato za alaf Kwa kibaha kiwanda Chao kipo sehemu gani

    Nataka kwenda kuchukua bati kiwandani Moja Kwa Moja wadau hivi hii kampuni ya alafu kiwanda chake kipo sehemu gani kibaha msaada wenu wakuu na he nyumba ya chumba kimoja jiko sebule choo inaweza ingia bati ngapi
  9. X

    Serikali ina mpango gani na Barabara ya Mwendokasi Kimara hadi Kibaha? ni kama imetelekezwa

    Kwanza niipe hongera serikali kwa kwa upanuzi wa barabara ya Kimara-Kibaha siku hizi ukitoka Kimara Stop Over mpaka Kibaha unateleza kusimama ni kwenye mataa tu. Ila janga ni ile barabara ya katikati ambayo ilikusudiwa iwe ya mwendokasi lakini mpaka sasa haitumiki ipo kama pambo. Huwa nikipita...
  10. R

    Viwanja Vinauzwa Kibaha Maili Moja

    Viwanja Vinauzwa. Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa. Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu. Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021. Nyaraka: Vina Hati miliki. Bei: Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa. Gharama za kwenda kuona...
  11. Bin Kawambwa

    Karibuni Jirani zangu wa Kibaha

    1 master bedroom 1 self room 1 single room Sitting room Kitchen Store Public toilet, 3 verandah (entrance). BAJETI yetu ilikua ni 11.2M, Hadi tunamaliza kazi tumetumia 11.4M. GHARAMA zimejumuisha materials pamoja na hela yangu ya Ufundi, maji, ndoo, chepe, Shimo la Choo (Hadi kufunika), pamoja...
  12. Introv

    Hivi serikali ndio ilitutapeli laki na 50 sisi wakazi wa Kibaha 2019 kuhusu upimaji wa ardhi?

    Wakuu kama mnakumbuka serikali ilitoa ofa ya kupimiwa viwanja Kwa Bei ya 150000tzs Sasa sisi huku kibaha tulipimiwa na kuwekewa mawe ila Hawa jamaa hawakurudi kutupa mrejesho wowote zaidi ya Yale mawe Yao yaani ni kama ulifanyika utapeli hivi serikali ndio mmetuibia raia wake naombeni kujua he...
  13. Introv

    Hivi kwanini Kibaha isiwe Dar es Salaam?

    Huwa najiuliza, viongozi wa hii nchi wana akili timamu kweli? Yaani wanajua kabisa raia wao wengi hawana elimu na wamejirundika Dar es Salaam kwa ajili ya jina. Kwanini wasiifanye wilaya ya Kibaha kuwa ndani ya Dar es Salaam sababu ilishawahi kuwa ndani ya dar es salaam ili watu wasambae kujenga...
  14. JanguKamaJangu

    Zaidi ya Wananchi 100 wa Mitamba - Kibaha waliobomolewa makazi yao wafika Mahakamani Kuu (Dar) kusikiliza hatma ya kesi

    Zaidi ya wananchi 100 kwa niaba ya wenzao kutoka Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani wamefika katika viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Aridhi wakiambata na Wakili pamoja na baadhi ya viongozi wao kusikiliza shauri lao, ambapo wananchi takribani 3000 wanadai kuchukuliwa ardhi yao na...
  15. Introv

    Inadaiwa parking kubwa ya magari itajengwa Kibaha Misugusugu itayokuwa na Hoteli na Super Makert. Je, kuna ukweli?

    Nimepata habari Kuna parking ya magari kubwa itakayokua na hoteli na super makert ambayo inatarajiwa kujengwa kibaha misugusugu shule je kuna ukweli kugusu Ili jambo ama alieniambia kanidanganya nimeona niulize humu jamii forum sababu ni kisima Cha maarifa Ili tuweze
  16. Mshana Jr

    Ajali ya Kibaha eneo la Kongowe imekata mawasiliano Morogoro road

    Kama Una mpango wa kutumia Morogoro Road kwenda Chalinze na kuendelea ama Tanga Moshi na kuendelea tafadhali tumia Bagamoyo road maana Morogoro road imefungwa.. Magari yamejaa barabara zote mbili.. Old Morogoro rd na New Morogoro rd.. Ilikuwa ni ajali ya alfajiri pale maeneo ya Kongowe pale Howo...
  17. C

    DC Kibaha umeichoka kazi yako?

    Hivi hawa ma-DC huwa hawapewi mafunzo/maadili kabla ya hizi teuzi? Show off Hizi zitawaponza. Mambo yako binafsi/familia unayaletaje Kwenye ofisi za Umma?
Back
Top Bottom