Kibaha is a city, with a population of 128,488 (2012 census), located in eastern Tanzania. It is the capital of Pwani Region. It is located in Kibaha District, one of the six districts of Pwani Region.
Kiwanja kinauzwa Kibaha kwa Mfipa(upande wa chuo)
Ukubwa ni mita 20×20(sqm 400)
Bei million 3.2
Hicho pembeni ya hiyo nyumba
Kilomita 2.5 toka stendi
Huduma zote zipo
Umeme na maji ni kuvuta tu
Kimebaki kimoja tu
0744757738
0784376888
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021.
Nyaraka: Vina Hati miliki.
Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa.
Gharama za kwenda kuona...
Boma linauzwa Kibaha kwa Mfipa
Vyumba vitatu(kimoja masta)
Seble
Dinning
Jiko&stoo
Choo public
Shimo la choo bado kufunika tu
Nyumba imejengwa kisasa sana
Eneo ni 20×20
Bei million 15.3 tajiri
0744757738
0784376888
Wananchi na wakazi katika eneo la Mleleguo kata ya Misugusugu, Kibaha mkoa wa Pwani tumekuwa na hali ngumu sana ilinayosababishwa na uchafuzi wa mazingira unaofanywa na kiwanda cha wahindi kinachozalisha Pombe kali, kwani muda wote eneo zima la Mleleguo limetawaliwa na harufu kali ya pombe kiasi...
Habari. Nina viwanja vinavyouzwa Kibaha kwa Mfipa jirani na chuo cha Mwalim Nyerere.
Pia zipo nyumba zinazouzwa hapo hapo Kibaha kwa Mfipa.
Unaweza wasiliana nami
Nyumba inauzwa Kibaha kwa Mfipa
Ina chumba seble
Ina vyumba viwili milango ya nje
Umeme na maji vipo
Eneo ni 20×20
Imegusa barabara ya mtaa
Bei million 9.8
0744757738
0784376888
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021.
Nyaraka: Vina Hati miliki.
Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa.
Gharama za kwenda kuona...
Nataka kwenda kuchukua bati kiwandani Moja Kwa Moja wadau hivi hii kampuni ya alafu kiwanda chake kipo sehemu gani kibaha msaada wenu wakuu na he nyumba ya chumba kimoja jiko sebule choo inaweza ingia bati ngapi
Kwanza niipe hongera serikali kwa kwa upanuzi wa barabara ya Kimara-Kibaha siku hizi ukitoka Kimara Stop Over mpaka Kibaha unateleza kusimama ni kwenye mataa tu.
Ila janga ni ile barabara ya katikati ambayo ilikusudiwa iwe ya mwendokasi lakini mpaka sasa haitumiki ipo kama pambo. Huwa nikipita...
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021.
Nyaraka: Vina Hati miliki.
Bei: Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa.
Gharama za kwenda kuona...
1 master bedroom
1 self room
1 single room
Sitting room
Kitchen
Store
Public toilet,
3 verandah (entrance).
BAJETI yetu ilikua ni 11.2M, Hadi tunamaliza kazi tumetumia 11.4M.
GHARAMA zimejumuisha materials pamoja na hela yangu ya Ufundi, maji, ndoo, chepe, Shimo la Choo (Hadi kufunika), pamoja...
Wakuu kama mnakumbuka serikali ilitoa ofa ya kupimiwa viwanja Kwa Bei ya 150000tzs Sasa sisi huku kibaha tulipimiwa na kuwekewa mawe ila Hawa jamaa hawakurudi kutupa mrejesho wowote zaidi ya Yale mawe Yao yaani ni kama ulifanyika utapeli hivi serikali ndio mmetuibia raia wake naombeni kujua he...
Huwa najiuliza, viongozi wa hii nchi wana akili timamu kweli? Yaani wanajua kabisa raia wao wengi hawana elimu na wamejirundika Dar es Salaam kwa ajili ya jina. Kwanini wasiifanye wilaya ya Kibaha kuwa ndani ya Dar es Salaam sababu ilishawahi kuwa ndani ya dar es salaam ili watu wasambae kujenga...
Zaidi ya wananchi 100 kwa niaba ya wenzao kutoka Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani wamefika katika viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Aridhi wakiambata na Wakili pamoja na baadhi ya viongozi wao kusikiliza shauri lao, ambapo wananchi takribani 3000 wanadai kuchukuliwa ardhi yao na...
Nimepata habari Kuna parking ya magari kubwa itakayokua na hoteli na super makert ambayo inatarajiwa kujengwa kibaha misugusugu shule je kuna ukweli kugusu Ili jambo ama alieniambia kanidanganya nimeona niulize humu jamii forum sababu ni kisima Cha maarifa Ili tuweze
Kama Una mpango wa kutumia Morogoro Road kwenda Chalinze na kuendelea ama Tanga Moshi na kuendelea tafadhali tumia Bagamoyo road maana Morogoro road imefungwa.. Magari yamejaa barabara zote mbili.. Old Morogoro rd na New Morogoro rd..
Ilikuwa ni ajali ya alfajiri pale maeneo ya Kongowe pale Howo...
Hivi hawa ma-DC huwa hawapewi mafunzo/maadili kabla ya hizi teuzi? Show off Hizi zitawaponza. Mambo yako binafsi/familia unayaletaje Kwenye ofisi za Umma?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.