Kiwanja kinauzwa Kiluvya kwa komba, Ukubwa ni sqm 400 na kuendelea vipo umbali wa mita km 1 kutoka barabara kuu ya lami morogoro Road
Bei milioni 12 .....
0675 065906
KIWANJA KIZURI SANA
KINAUZWA
KIMARA TEMBONI
KIWANJA HIKI KINASIFA ZIFUATAZO
# KIPO SEHEMU NZURI
# KINAFAA KWA MAKAZI, PIA KUJENGWA NYUMBA ZA KIBIASHARA (APARTMENT'S)
#MAJI SAFI DAWASA NA UMEME..
UKUBWA WA ENEO NI
SQM 480.
BEI NI MILION 14. MAONGEZI YAPO
KIWANJA HIKI KIPO KIMARA TEMBONI...
Asalaam ndugu zangu,
Hakika natumaini ya kuwa wote nyie ni wazima wa Afya baada ya mihangaiko ya week nzima. Anyways, niende moja kwa moja kwenye mada, Jumapili ya leo tarehe 21/4/2024 una enjoy ukiwa kiwanja gani..?
Mimi binafsi nipo uwanja wa nyumbani FUEGO LOUNGE. Kwa ambae yupo hapa...
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkono kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani.
Kina ukubwa wa Square meter 1080
BEI million 12
kwa mawasiliano zaidi nipigie 0758666865
NAUZA KIWANJA CHANGU
📍Site located at Amani Mapinga Near EPLAS RECREATION
🧵Umbali:
👉 5 km kutoka Bunju
👉1.8 km kutoka Bagamoyo Road
👉2 km kutoka Baharini.(PLOT NEAR BEACH)
• Kiwanja kinagusa barabara kubwa ya mtaa
• Kiwanja kina nyumba ndogo ndani yake yenye vyumba viwili na sebule
• Pia...
Kiwanja kina sqm 584,
Bei milioni 14 maongezi kidogo yapo.
Kiwanja kipo mtaa mzuri uliojengeka, barabara inafika mpaka kwenye kiwanja
Kimepimwa kina hati ya wizara
0675 065906
Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside
Kutoka Riverside-Mandela Road ni 1.5 km
Ukubwa ni 1,400 square metre
Bei ni 90m
Piga 0625617565
Kinafaa kwa makazi na kuwekeza apartments sababu kiko mjini na ni kikubwa.
Milili Kiwanja chako sasa kwaajili ya Makazi, kupitia mradi wetu wa viwanja uliopo VIKINDU VIANZI OBEY.
KUMBUKA:
Ukubwa wa viwanja ni 40 × 50
Kuna huduma za kijamii
Vuwanja vina hati halali toka serikali ya mtaa.
Utapata hati ya makazi Bure.
Bei ni 1300000 Tu.
WASILIANA NASI SASA KWA 0686338261
Kiwanja Chenye nyumba kinauzwa kipo bahari beach jijini dar es salaam wilaya ya kinondoni kiwanja kina ukubwa wa sqm 800 Eneo limepimwa Ila Bado hati nyumba ni ya kuvunja Kisha unaweza jenga apartment Za biashara ama Nyumba ya kuishi kiwanja kipo meter 400 kutoka barabara ya lami KINAUZWA kwa...
Kiwanja kizuri kinauzwa maeneo ya kifuru kisopwa ukitoka stand ya mbezi mbezi unashukia kifuru unachukua bodaboda au bajaji hadi site. Kina ukubwa wa 23m x 20m maji yapo yakutakata, umeme upo.
Bei milioni 4.5
Kwa mawasiliano zaidi +255 717 040837 / 0767 267 664
Kiwanja kinauzwa Kigamboni karibu na Hamidu City. Kiwanja kina hati, kimezungushiwa fensi na kina ukubwa wa Square Metres 4000 (Eka moja). Umeme na maji vipo. Bei Milioni 250, maongezi yapo.
Ni inbox au Mawasiliano ya moja kwa moja Whatsapp/Msg 0775880218. Hakuna dalali...
Asalaam,
Hakika Mwana Kondoo amefufuka na hivyo basi tumfuate, Kheri za Pasaka kwenu.
Bila kupoteza muda tupeane code ni wapi leo utaenda kufurahia sherehe zako za pasaka ukishashiba pilau la nyumbani kwako.
Karibuni.
VIWANJA VIPO MBEZI MWISHO MSIGANI
✳️ VINA SQM 700 KILA KIMOJA
✳️ VIMEPIMWA VINA HATI YA WIZARA
✳️ PUNGUZO LA BEI MLN 15 TU
✳️ VIPO ENEO ZURI LENYE HUDUMA ZOTE
WAHI FASTA UCHUKUE CHAKO VIMEBAKI VIWANJA VIWILI 2 TU
0675065906
Habari za mchana ndugu zangu,
Natafuta kiwanja kisichokua na mgogoro na kilichopimwa maeneo ya Madale Mivumoni au karibu na apo, kiwanja kiwe na ukubwa wa 800sqm na budget isizidi 30M.
Ahsante.
kiwanja Chenye Nyumba kinauzwa Kipo bahari beach jijini dar es salaam
Kina ukubwa wa sqm 2220 kina Hati miliki safi kabisa kutoka wizara ya Ardhi
Kiwanja kina KIBANDA cha kuanzia maisha pia kimezungushiwa ukuta Pamoja na gei Kipo umbali wa meter 600 kutoka BARABARA ya lami
KINAUZWA TSH 400...
Kiwanja kinauzwa
Kipo mbweni malindi , jijini dar es salaam
WILAYA ya Kinondoni BARABARA ya bagamoyo road kina UKUBWA wa sqm 1495 ni corner plot na kina Hati miliki safi kutoka wizara ya Ardhi kina uzwa TSH MIL 180 mazungumzo yapo kwa muhitaji KARIBUNI sana
Mawasiliano
0712464777 whatsap & call...
Wakati mwingine busara huwa inaitajika unapotoa maamzi. mediation inaweza kutumika .kwani kuna faida gani unapovunja nyumba ya mtu hata kama kiwanja si chake?
Wewe mwambie kiwanja si chake then akikubari mwambia nunua kiwanja hiki.ziko taasisi zenye kuthaminisha viwanja na majumba, Hivyo...
Kipo kiwanja mbweni jkt block 5 kina sqm 1020. bei 80milion kina hat
Kipo kiwanja mbweni malindi block c sqm 1100. Bei 80milion kina hat
Kipo kiwanja mbweni mpiji sqm 912 bei milion 55 kina hati
Kipo kingine mbweni mpiji block 13 sqm 1090 kina hat bei 50 milion
Kipo kingine
mbweni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.