jamiiforums

About Jamii Forums
logox.png

JAMII FORUMS (JF) is a Non-Governmental Organization that advocates and promotes Civil and Digital Rights, Social Justice, Accountability, Democracy and Good Governance. It has helped Human Rights Defenders to remain safe online, enhance digital skills for various CSOs and using content engagement in amplifying their work on its platforms across Social Media.

JF operates JamiiForums.com, Tanzania’s famous digital content platform with its Social Media pages, well known for Stories of Change with a proven track record in public engagement around critical social issues reaching over 3,000,000 people daily. JamiiForums.com was found in March 2006.


Focus Areas
  • Amplification of Citizen Voices
  • Access to the Right Information
  • Data Privacy and Protection
  • Digital Rights Advocacy
  • Promotion of Stories of Change
  1. Championship

    TANZIA Profesa Henry Mgombelo wa UDSM afariki dunia

    Mwaka 2016 niliingia ofisini kwake pale CoICT nikitaka aniandikie reference letter nilipokuwa naenda kusoma University of Manchester. Sasa nikakuta amefungua JamiiForums, anatoa michango yake kwenye majukwaa mbalimbali. Aliwahi kunifundisha kozi kadhaa za Telecom Engineering nilipokuwa CoET...
  2. J

    JamiiForums Yaadhimisha Siku Ya Mwanamke Duniani kwa Mkutano na Wabunifu wa Maudhui ya Mtandaoni

    Mada: Kuwawezesha Watengeneza Maudhui: Kupinga Dhana potofu kuhusu Wanawake Kulingana na Sensa ya 2022, idadi ya Wanawake Tanzania ni 31,687,990 ambao ni sawa na 51% ya idadi ya watu. Kulingana na Ripoti ya Pengo la Kijinsia ya Mwaka 2019 iliyotolewa na Shirikisho la Mawasiliano ya Simu za...
  3. GENTAMYCINE

    Leo naomba Saa 3 Kamili Usiku tukimbiane hapa JamiiForums

    Nasisitiza tena kuwa naomba leo Saa 3. Kamili Usiku tukimbiane hapa JamiiForums kwani najua kutawaka Moto mkubwa sana na Watu wartachekana na Kuumbuka mno.
  4. GENTAMYCINE

    Hiyo Sherehe yenu wana JamiiForums mnayoiandaa ole wenu msinialike na msinitumie Chopper inifuate huku Mapinga 'Chango Hela' Bagamoyo

    Yaani mkiifanya halafu GENTAMYCINE sipo au sijaalikwa itakuwa ni sawa na Timu ya Taifa ya Argentina kupangwa bila Lionel Messi au Yanga SC kupanga Kikosi chake bila ya Pacome Zouzou au Simba SC kupangwa bila ya Clatous Chama kitu ambacho hakiwezekani na kitawashangaza wengi. ANGALIZO Kabla...
  5. Rayvanny wa jamiiForums

    Hivi huwa mnaoana kweli humu mbona hatupeani mialiko ya harusi?

    Naamini kuna watu humu huwa wanaoana kimya kimya alafu ni member wenzetu tu, hapa na tupo nao kwa miaka mingi lakini mbona hatupeani mialiko ya harusi? Au wana jamiiforums huwa amuowagi au kuolewa
  6. Roving Journalist

    Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) pamoja na Balozi wa Ujerumani nchini waitembelea JamiiForums

    Leo, Februari 28, 2024, JamiiForums imetembelewa na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Christine Grau, pamoja na Thomas Terstegen, ambaye ni Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Ujumbe wa Mabalozi hao umepata nafasi ya kukutana na Watendaji wa JF na...
  7. GENTAMYCINE

    Leo ni mwendo wa Usununu ( Makasiriko ) tu hapa JamiiForums

    Sababu.. .. 1. Mwarabu jana Kanikosesha Tsh Milioni 62 ili GENTAMYCINE niuage rasmi Umasikini wangu Ulionitukuka kwa muda mrefu. 2. Nalazimika kuwakwepa Watu Mtaani, kutopokea Simu zao na Kudanganya wakati si hulka yangu ilimradi tu nipunguze Presha ya Kutaniwa na Kuzodolewa na Waliobahatisha...
  8. GENTAMYCINE

    Taarifa kwa Umma wa watanzania na wana JamiiForums wote

    Tokea juzi Ijumaa Jioni hadi Alfajiri hii ya leo ID yangu hii ya GENTAMYCINE ilikuwa Imedukuliwa na Wahuni hivyo kama kuna Maudhui yoyote yaliandikwa tokea hiyo juzi hadi jana jua si yangu bali ni ya hao Wadukuaji Wahuni wakiongozwa na adriz, Dada Nifah, Popoma Tate Mkuu na Rafiki yangu...
  9. C

    Taja Members wa JamiiForums ambao unadhani kwa ushindi mnono wa yanga fc wameumia na wanaweza wasionekane kwa muda hapa

    Naanza na SAGAI GALGANO na mwingine ni maarufu ila nimemsahau jina na leo kabla ya mechi alitutia mno joto wana Yanga SC hapa jamiiforums kwa threads zake za mikwara mbuzi. Hii ndiyo Yanga SC bwana na bado.
  10. GENTAMYCINE

    Tafadhali naomba leo Saa 3 Usiku tusipoteane hapa Jukwaani JamiiForums!

    Mlichotufanyia kwa Rafiki zenu wa Unafiki wale wa Mbagala hasa Kiushirikina) na Kimafia (Mchezo Mchafu) ndiyo nasi leo tumekifanya / tumelipiza hivyo hivyo. Hamtoamini kwa Kitakachowatokea.
  11. figganigga

    Kama App ya Jamiiforums inakusumbua, tumia hii link

    Salaam Wakuu, Hivi kuna mtu bado anapata changamoto kwenye kutumia application ya Jamiiforums? Kwa wale wa androids tumieni hii link. Acha kulialia https://play.google.com/store/apps/details?id=com.jamii.app2024
  12. Mkalukungone mwamba

    Mkuu wa Programu JamiiForums: Taasisi za serikali zinapaswa kutambua JamiiForums ni mtandao wa ndani, tuuthamini

    Mkuu wa Programu JamiiForums, Ziada Seukindo amesema taasisi za serikali zinaruhusiwa kutumia mtandao wa JamiiForums kwa sababu ni Jukwaa la mtandao kama majukwaa ya mitandao ya kijamii mengine duniani. “Taasisi za serikali zinapaswa kutambua JamiiForums ni mtandao wa ndani tuuthamini, baadhi...
  13. Frank Wanjiru

    Ayub Rioba: JamiiForums ni chombo cha habari na si jukwaa la mtandao

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha amesema JamiiForums ni chombo cha habari na sio Jukwaa la mtandao kama linavyojulikana. Dkt. Rioba amesema hayo mkoani Mwanza wakati wa uwasilishaji mada za mitandao ya kijamii katika mkutano wa Mafunzo wa 108 wa...
  14. GENTAMYCINE

    Msemaji wa Singida Fountain Gate FC Hussein Massanza umewasikia lakini Wana Mkoa wa Singida (Watani Zangu) na Tamko lao hili takatifu na tukuka?

    "Tumeshachoka sasa na hii tabia ya Uongozi wa Singida Fountain Gate FC ya kila mara kubadili Jina la Timu, kuhamisha Timu kwenda Mikoa mingine na kufanya Biashara kimya kimya ambazo hazileti Tija kwa Timu yetu. Sisi wakazi wa Singida tunaomba hii Timu ibadilishwe Jina na watumie Majina ya huko...
  15. JamiiForums

    Baadhi ya watendaji wa JamiiForums wakutana kutathmini mwaka 2023

    Katika kujipanga kutoa huduma bora zaidi, baadhi ya Watendaji wa JamiiForums walikutana Jijini Arusha kwa lengo la kutathmini shughuli zilizofanywa na Taasisi mwaka 2023 pamoja na kupanga Mikakati ya kuboresha zaidi mwaka 2024. Hii ilijumuisha kujengewa uwezo katika maeneo muhimu ya kiutendaji
  16. BICHWA KOMWE -

    Culture Me: Mrembo wa Jamiiforums mwenye akili zake

    Anaandika BICHWA KOMWE:- Huyu bibie nampenda. Kwanza mzuri, mcheshi na ana akili mingi sana. Ukimlishanganisha na makanjanja wengine wenye majina ya kike humu, Culture Me anachukua karata ya turufu. Anashinda asubuhi na mapema. Sijui kwanini lile shindano la mrembo wa Jamiiforums hakupewa...
  17. AFRICAN BOYI

    Natafuta kazi yoyote halali, huku mtaani sio poa

    Habari zenu wakuu Wakuu naombemi kazi yoyote ya halali huku mtaani sio poa. Huku kitaa nimepambana sana huku na kule lakn bado kugumu ila hatukati tamaa. Naombeni kwa yeyote mwenye kazi aniunganishe tafadhali, ata za viwandani sawa tu muhimu kupata chochote kitu. Mwenye connection za saidi...
  18. Koffi Annan

    JamiiForums website inapendeza sana na fire bubbles za leo.

    Happy New year family, Japo nimechelewa kuingia kwenye website yangu pendwa ya JamiiForums leo nilivokutana nazo zilinivutia sana na zimenifanya niingie kila muda, Kudos kwa team nzima na technicians kwa ujumla, kazi yenu ni nzuri na inapendeza, Ningeomba kama mlipanga zikae siku moja basi iwe...
  19. Melki Wamatukio

    Web ya JamiiForums imelipuliwa kwa mafataki. Inawaka miale ya moto wa kila rangi

    Katika maisha haya, najivunia vitu vitatu muhimu 3. Najivunia kuwa mtu wa watu i.e mchapakazi, mcheshi, bidii katika kazi bila kujali hasara, moyo usio na chuki, usio na hasira, usio na wivu wa kijinga n.k 2. Najivunia kuwa mwanachama wa mitandao ya kijamii ya JamiiForums na X 1. Najivunia...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?

    Kwema Wakuu! Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humu wengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu, jambo au mtu kabla hujamuona/hujamuona mtu huyo. Je kwa Schema yako, unafikiri ni memba gani humu...
Back
Top Bottom