deni

Deni (born 26 July 1989) is an Indonesian weightlifter who competes in the 69 kg division. He placed 12th at the 2012 and 2016 Olympics. He won gold medals at the 2011 Universiade and 2013 and 2017 Southeast Asian Games.

View More On Wikipedia.org
  1. passion_amo1

    Nani alikwenda shule kuchukua cheti chake akakuta amewekewa Deni ambalo halifahamu?

    Wakuu Heshima mbele. Juzi nilikuwa natokea PWANI nikakumbuka kwamba sikuwahi kuchukua cheti changu cha kidato cha sita. Sasa nilikuwa na mama watoto, nikamwambia sababu muda umeenda kesho unisindikize shule nikachukue cheti changu, akasema tutakwenda. Basi tulilala mjini pale na asubuhi yake...
  2. Replica

    Alala na kula Serena kisha kutokomea bila kulipa deni la milioni 21, adakwa na kufikishwa mahakamani

    Mkazi wa Dar es Salaam, Denis Mfumbulwa mwenye miaka 44 wa Goba Kulangwa amefikishwa mahakama ya mwanzo ya Kariakoo akidaiwa kujipatia malazi na chakula kwenye hoteli ya Serena kitapeli vyenye thamani ya milioni 21.4 Baada ya kupata huduma, mdaiwa alitokomea kusikojulikana. Mfumbulwa alikana...
  3. MUBIKU

    Nimelipwa deni langu Tsh. Milioni 1.3 baada ya miezi 6. Nifanye uwekezaji gani?

    Wana jamvi msaada wa mawazo. Kuna sehemu nilidai pesa yangu zaidi ya miezi 6, hatimae leo wamenilipa. Naomba ushauri niifanyie uwekezaji au/ biashara gani ambayo itazalisha na kuongeza thamani ya pesa. Malipo yenyewe ni madogo tu ni milion1 na laki tatu, eneo nililopo ni Mwanza tayari...
  4. kavulata

    Kumbukumbu ya Sokoine na ongezeko la deni la Taifa

    Hayati Sokoine alikuwa Waziri Mkuu wetu kwenye awamu ya Kwanza ya uongozi wa taifa letu. Alikufa miaka 40 iliyopita lakini mwaka 2024 serikali inashiriki kikamilifu kwenye kumbukumbu yake kutimiza miaka 40 toka kuondoka duniani. Maswali kichwani mwangu ni mengi, hasa yanayotokana na umaskini...
  5. Hamduni

    Jokate: Rais Samia kamaliza yote, deni lipo kwetu sisi kuhakikisha tunamtendea haki

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Ndugu. Jokate Mwegelo amesema kuwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka 3 ya Uongozi wake kwakuwa amefanya makubwa katika sekta mbalimbali za Afya, Elimu, Miundombinu, Maji...
  6. Bravo247

    Kumkopesha ndugu ni kuua undugu wenu

    Nimejifunza ni bora lawama kuliko fedheha. Ndugu yangu alikuwa na mahusiano mazuri sana na mimi tuliweza kuwasiliana na kutembeleana mara kwa mara, lakini mambo yalibadilika baada ya yeye kupata matatizo fulani na kuomba nimuazime kiasi fulani cha pesa (kikubwa tu), nikamsihi nami niko vibaya...
  7. DodomaTZ

    Baada ya Bilionea Shami kudai kutishiwa maisha, wanaomdai wajitokeza na kumwambia alipe deni

    Baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio...
  8. Roving Journalist

    Viwango vya kubadilisha fedha vyakuza deni nchi za Afrika

    Na. Eva Valerian na Peter Haule, WF, Victoria Falls, Zimbabwe Madeni ya nchi nyingi za Afrika yanakua kwa kasi kutokana na kuongezeka kwa viwango vya riba na kubadilisha fedha duniani na kusababisha kushuka kwa thamani ya fedha za ndani. Hayo yamebainishwa Mjini Victoria Falls, Zimbabwe, na...
  9. Mla Bata

    Usiku wa deni haukawii kukucha, TANESCO tunawasubiri Februari 16, 2024

    Wasalaam, Zile mbilinge mbilinge, sarakasi na maigizo ya kuwachomoa wakina Maharage Chande na kina "kipara", matamko yasiyo kwisha na sababu lukuki zisizo za msingi za kukosekana kwa umeme wa uwakika katika nchi yetu ya "tanzagiza" yamefika ukingoni baada ya ahadi ya "mama Abduli" ya kumaliza...
  10. Miss Zomboko

    Hadi Desemba 2023, deni la Serikali lilikuwa trilioni 87.47 ikilinganishwa na trilioni 74.75 ya 2022

    Hadi mwezi Desemba 2023, deni la Serikali lilikuwa shilingi trilioni 87.47 ikilinganishwa na shilingi trilioni 74.75 katika kipindi kama hicho mwaka 2022, sawa na ongezeko la asilimia 17.0. Kati ya kiasi hicho, deni la nje ni shilingi trilioni 56.79 na deni la ndani ni shilingi trilioni 30.67...
  11. Suley2019

    Kenya yakabiliwa na changamoto ya madeni huku ukomo wa muda wa kulipa deni la bilioni 25 za IMF ukiwadia

    Kulingana na ripoti ya jukwaa la habari za biashara nchini Kenya, BusinessDaily, IMF ilifichua kuwa Kenya ni miongoni mwa wakusanyaji wakuu wa mapato yake kwani benki hiyo inapanga kupata takribani asilimia 2 ya mapato yake ya mkopo kutoka nchini Kenya. "Income kutoka Kenya inatabiriwa...
  12. Maghayo

    Deni la taifa Afrika Kusini limefika dola za kimarekani billion 300

    Mzuka Wanajamvi. Deni la taifa linaloongoza kwa uchumi duniani imefika dola za kimarekani billion 300. Inasikitisha sana Taifa hili kubwa Afrika kiuchumi kufikia hii hatua ambapo ajira zimeshuka, utawala mbovu, ufisadi, uchumi kudorora, uhalifu habari wa umeme etc. Je wataweza kulipunguza...
  13. Z

    Deni la Marekani ni $34 trillioni

    Ukistaajabu ya Musa, utashangaa ya Farao. Deni la Marekani kwa takwimu za 2023, limefikia $34 trilioni. Kiwango hiki kinaifanya Marekani kuwa kinara wa deni kubwa kabisa duniani. Kumbe hata matajiri wanakopa! Chanzo: Reuters...
  14. Dx and Rx

    Mwaka ndio huo unasepa, Malengo yako uliyojiwekea umeyatimiza kwa kiasi gani?

    Heri ya sikukuu kwa familia nzima ya JamiiForums. Turejee kichwa cha uzi hapo juu. Nina imani wengi wetu huwa tunajiwekea Malengo ifikapo mwanzo wa mwaka ili tuweze kuyatekeleza na kufika hatua ya mafanikio tunayoitaka. Mbali na changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika safari ya kutekeleza...
  15. Mwande na Mndewa

    Hatuna deni na Magufuli, kama hakukuachia maarifa basi alikuachia ujasiri

    Hatuna deni na huyu Mwamba🙏🏼 Kama hakukuachia maarifa basi alikuachia ujasiri,Gone too soon Mwamba.
  16. benzemah

    Makonda: Rais Samia hana deni

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM-Taifa, Itikadi na Uenezi, Cde. Paul Makonda amesema Rais, Samia Suluhu Hassan ameendelea kutoa fedha nyingi za utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini kwahiyo deni limebaki kwa wasaidizi wake kuhakikisha wanatekeleza miradi na kufanya kazi kwa bidii ili kuondoa...
  17. BARD AI

    Serikali inapanga kutumia Tsh. Trilioni 12.10 kulipa Deni la Taifa, Mishahara Tsh. Trilioni 11.77

    Serikali imepanga kulipa kiasi hicho kutoka katika Makusanyo ya Tsh. Trilioni 47.42. Kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba, Makusanyo hayo pia yatagharamia Miradi ya Maendeleo Tsh. Trilioni 15.32 na Shughuli nyingine za Serikali Tsh. Trilioni 8.22 Fedha za Maendeleo zitajumuisha...
  18. P

    Tanzania iliweza kulipa deni lake lote la IMF ifikapo tarehe 31 Desemba 2020, sasa tunadaiwa TZS 2 trilioni (USD 822 milioni) na IMF - kwanini?

    Kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1984, Tanzania ilikuwa na salio la 0 (SIFURI) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Ni lini mkopo wa IMF ulilipwa kikamilifu na asilimia 100? Mkopo ulikuwa sifuri kufikia tarehe 31 Desemba 2020, ambao wengi wenu mnajua ni mwaka wa Covid-19. Unajua mkopo wetu...
  19. A

    Mke wa mfanyabiashara maarufu Dar kortini deni la Mil. 20

    Dina Mgala, mke wa mfanyabiashara maarufu wa maduka ya kufua nguo kwa machine jijini Dar, Khalid Laundry amefikishwa katika kizimba cha Mahakama ya Mwanzo, Ilala Mtaa wa Pangani akidaiwa kuingia mitini na Shilingi Milioni 22 za mjasiriamali anayejulikana kwa jina la Zenna Kengera au maarufu Anti...
  20. Sultan MackJoe Khalifa

    Ahmed Ally umeshamaliza kila kitu, huna deni kwa mashabiki wa Simba

    Ahmedy Ally a.k.a mzee wa kispika sumu ya panya, a.k.a Semaji la FIFA na CAF ufunguzi wa African football Leaugue kwa Mkapa. Huna baya kaka, una weledi na kipaji kikubwa cha kufanya kazi yako, kilichobaki ni sisi mashabiki kutimiza wajibu wetu kwenye club yetu kubwa Africa mashariki na kati...
Back
Top Bottom