Hizo number umetoa wapi?71,000 alafu matumizi kwenye mishahara imeongezeka!?
Oooh kumbe wewe ni mkimbizi ninyi ndio mlipewa uraia Tabora Mwaka Jana eeh?ANGALIZO:
Mnapokuwa mnatizama News Bulletin zozote kama unajua huna uwezo wa kukariri au kushika kitu unachokisikia basi uwe una notebook yako pembeni na uwe unaandika kama kumbukumbu kwako la sivyo utakuwa unawapoteza Watanzania wote kwa uzushi. Siku nyingine try to be accurate Mkuu. Hajasema Watu 71000 kama ulivyotudanganya hapo katika bandiko lako bali kasema kwamba tokea mwezi March hadi September wamebaini Watumishi hewa 11,600 na ambao wameshawachukulia hatua za kuwafukuza Kazi ila zoezi la kuwabaini wengine bado linaendelea.
Halafu katika Kiswahili sanifu hakuna neno " amekili " bali kuna neno " amekiri ". Huwa sipendi kuona a very native Tanzanian anakosea ama kuzungumza au kuandika Kiswahili fasaha halafu Mimi " mgeni " tu tena kutoka nchini kwetu Rwanda nakijua vizuri mno hiki Kiswahili chenu na nakipenda sana kukizungumza na kukitumia katika kukiandika. Akhsante Mkuu na nimeona nikupe " makavu " yako " mubashara " kabisa.
Tumeeeeeeeechokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Watumishi hewa unawafukuzaje kazi?Amesema kuwa zoezi la uhakiki lililoanza march hadi september mwaka 2016 limebaini watumishi hewa 17100 limeisababishia hasara serikali kubwa pia waziri simbachawe amekili kuwa zoezi la uhakiki wa watumishi hewa limechelewesha ajira mpya kwa kiasi kikubwa
======
Serikali imewabaini na kuwafukuza zaidi ya watumishi hewa 17100 katika kipindi cha miezi sita huku watumishi hao wakitajwa kunufaika na fursa mbalimbali ikiwemo kupata mikopo kwa njia zisizo za halali na kulisababishia taifa hasara kubwa.
Waziri wa nchi ofisi ya rais Menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora Mhe Angela Kairuki anatoa takwimu hizo za watumishi hewa katika hafla ya kuwaapisha wakurugenzi wapya wa halmashauri 13 walioteuliwa na rais John Magufuli hivi karibuni ambapo amesema kwa kipindi cha mwezi March hadi September idadi hiyo imebainika huku zoezi hilo likitajwa kuwa endelevu.
Kwa upande wake waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa Mhe George Simbachawene amesema kubainika kuwepo kwa watumishi hewa kumechangia kwa kiasi kikubwa kuchelewesha ajira mpya huku akionya baadhi ya watu wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii kupotosha umma kuhusu ajira waache mara moja kabla hawajachukuliwa hatua
Nao baadhi ya wakurugenzi hao wapya baada ya kula kiapo cha maadili ya viongozi wa umma wamesema wamepokea uteuzi huo na wako tayari kufanya kazi kwa kuzingatia maagizo ya rais katika maeneo yao.
Chanzo: ITV
Hata wewe data zako haziko sahihi, kasema 17100 ndio waliobainika bhana, nyani halioni kunduleANGALIZO:
Mnapokuwa mnatizama News Bulletin zozote kama unajua huna uwezo wa kukariri au kushika kitu unachokisikia basi uwe una notebook yako pembeni na uwe unaandika kama kumbukumbu kwako la sivyo utakuwa unawapoteza Watanzania wote kwa uzushi. Siku nyingine try to be accurate Mkuu. Hajasema Watu 71000 kama ulivyotudanganya hapo katika bandiko lako bali kasema kwamba tokea mwezi March hadi September wamebaini Watumishi hewa 11,600 na ambao wameshawachukulia hatua za kuwafukuza Kazi ila zoezi la kuwabaini wengine bado linaendelea.
Halafu katika Kiswahili sanifu hakuna neno " amekili " bali kuna neno " amekiri ". Huwa sipendi kuona a very native Tanzanian anakosea ama kuzungumza au kuandika Kiswahili fasaha halafu Mimi " mgeni " tu tena kutoka nchini kwetu Rwanda nakijua vizuri mno hiki Kiswahili chenu na nakipenda sana kukizungumza na kukitumia katika kukiandika. Akhsante Mkuu na nimeona nikupe " makavu " yako " mubashara " kabisa.
Oooh kumbe wewe ni mkimbizi ninyi ndio mlipewa uraia Tabora Mwaka Jana eeh?
Hata wewe data zako haziko sahihi, kasema 17100 ndio waliobainika bhana, nyani halioni kundule
acha kujitetea hakuna kosa dogoSasa 11,600 yangu na hiyo 17100 zina umbali gani Mkuu? Jamaa kasema 71000 sasa ni nani hapo katulisha " matango pori " kiaina? Yaani kwa mfano ulio hai tu ni sawa sawa Waziri katamka Chalinze halafu Mimi nikatamka Mlandizi ila mwenzetu ( huyo aliyekosea ) yeye katamka Nkasi sasa kwa tathmini yako tu hapo ya haraka nani kidogo ana afadhali? Hivi Chalinze na Mlandizi kuna umbali? Sasa Nkasi unakujua jinsi kulivyo mbali? Huko ndiyo mwisho wa dunia Mkuu.
acha kujitetea hakuna kosa dogo
Umeadhirikaje mkuu mtaani?Daaaa, afadhali sasa hii kazi imeisha hatimaye nasi tuajiriwe, tumeadhirika vya kutosha mtaani