mgoloko
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 4,806
- 3,996
Makao makuu ya vyeti kanjanja na watumishi hewa ni huku kwenye majeshi. Namshangaa waziri anazungumza kana kwamba ndyo tayari wamemaliza. Mbona bado kwenye majeshi yetu?kwenye vyombo vyetu vya ulinzi hakuna? basi huko safi sana wapo makini sana hongereni