RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,620
- 3,936
wale wote wanaolalamika bei ya vyakula na nafaka imependa bei waziri ameamua kutoa kauli ya mwisho kuwa hakuna kufunga mipaka kwasababu ya bidhaa za nafaka kuuzwa nje ya nchi amesema niwakati wa mkulima kunufaika na mazao yake swala la budget ya chakula ni wewe na familia yako utapanga mwenyewe, hata hivyo amesema mfumuko wa bei siyo wa wizara ya kilimo ameshauri wanauchumi wanakila sababu ya kushauri serkali namna bora ya kuweza kukabiliana na mfumuko wa bei za vyakula na bidhaa ngingine kwa ujumla.
Ndugu zangu kama umelima na ukavuna uza lakini tunza chakula hali imekuwa tete siyo vyakula wala bei ya bidhaa nyingine kila kitu kipo juu.
maneno ya waziri amemaanisha kila mtu atumie akili yake kukabiliana na janga hilo. ukipenda uza popote upendapo lakini njaa ipo.
Ndugu zangu kama umelima na ukavuna uza lakini tunza chakula hali imekuwa tete siyo vyakula wala bei ya bidhaa nyingine kila kitu kipo juu.
maneno ya waziri amemaanisha kila mtu atumie akili yake kukabiliana na janga hilo. ukipenda uza popote upendapo lakini njaa ipo.