Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,227
Bashe anajua NFRA kuna chakula ch kutosha,, anachotaka wakulima wanufaike, ili msimu ujae watu walime maradufu😄Bashe nilikuwa najua mtu wa maana kumbe walewale
Bashe anajua NFRA kuna chakula ch kutosha,, anachotaka wakulima wanufaike, ili msimu ujae watu walime maradufu😄Bashe nilikuwa najua mtu wa maana kumbe walewale
Kama wewe ni mzalendo kweli Lima harafu wagawie watu chukulaOk wauze mahindi huko kwao Somalia kwenye njaa.
Wazalendo nchi hii ni wa kuwahesabu.
Wazara ya kilimo imepata msimamizi imara. Naunga mkono mawazo ya waziri 100%. Mungu akubariki Santa Bashe na fikra zako zidumu.wale wote wanaolalamika bei ya vyakula na nafaka imependa bei waziri ameamua kutoa kauli ya mwisho kuwa hakuna kufunga mipaka kwasababu ya bidhaa za nafaka kuuzwa nje ya nchi amesema niwakati wa mkulima kunufaika na mazao yake swala la budget ya chakula ni wewe na familia yako utapanga mwenyewe, hata hivyo amesema mfumuko wa bei siyo wa wizara ya kilimo ameshauri wanauchumi wanakila sababu ya kushauri serkali namna bora ya kuweza kukabiliana na mfumuko wa bei za vyakula na bidhaa ngingine kwa ujumla.
Ndugu zangu kama umelima na ukavuna uza lakini tunza chakula hali imekuwa tete siyo vyakula wala bei ya bidhaa nyingine kila kitu kipo juu.
maneno ya waziri amemaanisha kila mtu atumie akili yake kukabiliana na janga hilo. ukipenda uza popote upendapo lakini njaa ipo.
Hivi nikodi au ninunue kipande cha ardhi,na wakati mwingine nimechukuwa mkopo,niweke gharama za kulimia,mbolea,mbegu, mulching, kuotesha/kupanda, kupalilia,kulinda wanyama waharibifu,irrigation kuvuna,biocide,packing,kuhifadhi kwenye maghala,transportation n.kkila mtu apambane na hali yake
Sawa kabisa waziri kufanya hivyo itapunguza wazururaji mijini nakuona kilimo kama mgodi. Vijana wanakimbilia mijini ni bora warudi kulima kwa faida. Kuhusu kujiwekea akiba ni mtu mwenyewe apige hesabu zake vema maana hata tusinge uza nje bado kama siyo wakuweka akiba utauza kwenye soko la ndaninaunga mkono hoja wakulima wananunua mbolea mfuko wa 50kg kwa sh 150,000 halafu leo apangiwe mahali pa kuuza mazao yao
Damu ni nzito kuliko maji. Kwani wewe hujui kuwa baba wadogo na wajomba wanakabiriwa na njaa kali?Bashe nilikuwa najua mtu wa maana kumbe walewale
Hakuna mkulima anaye jua hata mpaka wa Namanga, au Silari, kule au Tunda, hao ni walanguzi na by the way kwa sasa wanao shindwa kumudu bei ya chakula ni hao wakulima,Naunga mkono hoja,ukitaka bei rahisi kalime ila kujaza vitambi huko mjini na uzauza maji ya kandoro ni matumizi mabaya ya potential yako..
Ngoja njaa ikikuchapa utajua cha kufanya..
Na mimi nakuambia kwamba hakuna mkulima anamiliki touch na kuja kulalamika humu jf..Hakuna mkulima anaye jua hata mpaka wa Namanga, au Silari, kule au Tunda, hao ni walanguzi na by the way kwa sasa wanao shindwa kumudu bei ya chakula ni hao wakulima,
Hii post hii imenichekesha sana na kunihuzunisha sana;wale wote wanaolalamika bei ya vyakula na nafaka imependa bei waziri ameamua kutoa kauli ya mwisho kuwa hakuna kufunga mipaka kwasababu ya bidhaa za nafaka kuuzwa nje ya nchi amesema niwakati wa mkulima kunufaika na mazao yake swala la budget ya chakula ni wewe na familia yako utapanga mwenyewe, hata hivyo amesema mfumuko wa bei siyo wa wizara ya kilimo ameshauri wanauchumi wanakila sababu ya kushauri serkali namna bora ya kuweza kukabiliana na mfumuko wa bei za vyakula na bidhaa ngingine kwa ujumla.
Ndugu zangu kama umelima na ukavuna uza lakini tunza chakula hali imekuwa tete siyo vyakula wala bei ya bidhaa nyingine kila kitu kipo juu.
maneno ya waziri amemaanisha kila mtu atumie akili yake kukabiliana na janga hilo. ukipenda uza popote upendapo lakini njaa ipo.