Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 18,936
- 43,484
Kweli, Geita nayo inang'ara Kwa matukioMara imepoa itoe weka GEITA
Kweli, Geita nayo inang'ara Kwa matukioMara imepoa itoe weka GEITA
Sio Serenje, Senjele.Sio Wagumu tu ni kabila lenye watu wenye roho ya kikatili nadhani kuliko makabila mengi Tanzania wao kuua ni kitu cha kawaida tu.
Wakikaba kwenye Mlima Serenje walikua wanatumia huo msemo wao wa Tumghoghe au Tumleshe wakimaanisha tumuue au tumuache mmoja kati yao akiongea uuawe au uachwe utaachwa kweli au kuuawa sio watu kabisa hao ndio hao hao walipelekewa deal na Waganga kuhusu ngozi ya binadamu mpaka wakaanza kuchuna ngozi watu...
ofcourse hakuna sana kama zamani, ila bado ile roho ngumu wanayo.Nimekaa uko ila sikuona matukio ya kutusha zaid ya story.
Yap huwa nachanganya hayo majina yote ni ya Wanyiha pia huko Zambia Wanyiha wana eneo linaitwa Serenje la Mbozi ni Senjele Mlimani pale mpaka polisi wameweka kituo ili kupunguza utekaji wa magari ya mizigo na abiria..Sio Serenje, Senjele.
Kumbe jeshi mojaNi kweli mna roho ngumu sana za kikatili, mpaka leo huku kwetu umalila mtu akitaka kumfanyia mwenzio jambo baya lazima aende kutafuta majeshi unyihani.
Watu mnatukandia sana Wanyiha Eti tuna Roho mbaya Acheni hizo Njooni Huku Vwawa au Mlowo Mje mfanye utafiti wa Mnachokisema
Ha ha ha. Uzuri bana kwa kutoa papuchi siyo wachoyo kabisa. Sema wanaume kutahiri ndo mbinde, wana mikono ya sweta balaa.Hata Kijiji cha Ukukwa wanakula mbwa na panya
Sasa ulitaka arudi nyumbani akufanyaje labda? kwani yeye daktari au nurse? Acha kudeka weweNilikuwa na demu anaitwa Neema Mziho, Mnyiha, nikipata ajali nikaumia vibaya sana, usiku huo hakirudi nyumbani akaenda kukesha bar na dada yake
Hivi naweza pata mchumba huko🤣🤣
Lucas Mwashambwa njoo fasta kabla comment haijafutikaNdio maana dish lake limeyumba.
Hizo ni story tuu mkuu Usiziamini sanaHuwa mnakula panya,siyo?
Ukisikia Wachuna ngozi za binadamu ndio Hawa maselaMbona hatuwasikii kwenye taarifa ya habari kama Njombe,Manyara,na Mara?
Anguu... Makoye getehLekaji bhagosha.....
Hamli ngoso?Hizo ni story tuu mkuu Usiziamini sana
Mwana ukumenye sanaYap huwa nachanganya hayo majina yote ni ya Wanyiha pia huko Zambia Wanyiha wana eneo linaitwa Serenje la Mbozi ni Senjele Mlimani pale mpaka polisi wameweka kituo ili kupunguza utekaji wa magari ya mizigo na abiria..
Yeah, pamekaa vibaya hata ajali ajali huwa zinatokea.Yap huwa nachanganya hayo majina yote ni ya Wanyiha pia huko Zambia Wanyiha wana eneo linaitwa Serenje la Mbozi ni Senjele Mlimani pale mpaka polisi wameweka kituo ili kupunguza utekaji wa magari ya mizigo na abiria..