Wanyiha, ni watu wagumu sana mapenzini. Acha waoane wao kwa wao

Sio Wagumu tu ni kabila lenye watu wenye roho ya kikatili nadhani kuliko makabila mengi Tanzania wao kuua ni kitu cha kawaida tu.

Wakikaba kwenye Mlima Serenje walikua wanatumia huo msemo wao wa Tumghoghe au Tumleshe wakimaanisha tumuue au tumuache mmoja kati yao akiongea uuawe au uachwe utaachwa kweli au kuuawa sio watu kabisa hao ndio hao hao walipelekewa deal na Waganga kuhusu ngozi ya binadamu mpaka wakaanza kuchuna ngozi watu...
Sio Serenje, Senjele.
 
Mna roho mbaya mno,nilioa huko na ndoa ilitushinda Kama asemavyo mleta uzi, ni watu makatili,hamna utu na ukioa huko ndugu kujazana kwako akiwa amekuja Kama alivyo ,na Mambo yako yakienda vibaya ndio utawajua wasivyo na utu.Wazee walinionya khs ilo kabila, nikawaambia ninaemuoa kasoma hawezi kuwa vibaya,wakaniambia mtu aachi asili yake...nilijuta aisee
Watu mnatukandia sana Wanyiha Eti tuna Roho mbaya Acheni hizo Njooni Huku Vwawa au Mlowo Mje mfanye utafiti wa Mnachokisema
 
Nilikuwa na demu anaitwa Neema Mziho, Mnyiha, nikipata ajali nikaumia vibaya sana, usiku huo hakirudi nyumbani akaenda kukesha bar na dada yake
Sasa ulitaka arudi nyumbani akufanyaje labda? kwani yeye daktari au nurse? Acha kudeka wewe

Demu tu unamvalia njuga hivyo angekuwa mkeo si ndio ungeua kabisa
 
Back
Top Bottom