Wanawake hawanitaki, nahisi nina mkosi mkubwa

Zingine Atatoa na Mshua Au Sio😂....!! Mshua na Bimkubwa Ote Wanatumia Viinua Mgongo Vyao Kuishi Maisha Yao Lakini Nikiwa Kama Mtoto wa Tatu Juzi Hapo Before Ramadan Niliwaongezea Gari Ist Kama Kupata Baraka Kutoa Kwao
Huyo mamayake ni mwanamke wa mtu
 
TAFUTA KIBUNDA
TAFUTA PESA
TAFUTA HELA
TAFUTA MAVUMBA
TAFUTA UMATE UMATE

Kuwa na hela kijana halafu njoo tena uone kama kuna mtu atakukataa
Mkuu hujasoma kisa mchezaji wa zamani wa Cameroon Jeremy Njitap pamoja na maokoto kaishia kulea watoto wa ex wa mkewe.
 
Kaka Kwa Story Nazopewa na Washkaji Zangu Kupendwa na Kudekezwa Inaonekana Dhahiri ni Raha Sana ila Robot Haliwezi Kufanya Hivyo...!! Hii Mada sio Kwamba Nakosa Kudinya ila Love Kama Nayoona kwa Washkaji Hio Mie Sijawai Kuipata Tokea Nizaliwe
Token uzaliwe here

Oya kudekezwa raha mzee, mimi nikiambiwa neno kudekezwa harakaharaka namkumbuka Hadija mzee mimi mkubwa akiniparaza nywele na kuzichana nakuwa kama mtoto wake ukweli stress zinakuwa free kabisa zinatoka (Release Stress).

Kudekezwa kusikie tu
 
Mkuu hujasoma kisa mchezaji wa zamani wa Cameroon Jeremy Njitap pamoja na maokoto kaishia kulea watoto wa ex wa mkewe.
Huyu sasa kesi yake sio kupata upendo wa kweli huyu hata mapenz ya uongo hapati ndio maana nimemwambia atafute hela watakuja tu
 
Zingine Atatoa na Mshua Au Sio😂....!! Mshua na Bimkubwa Ote Wanatumia Viinua Mgongo Vyao Kuishi Maisha Yao Lakini Nikiwa Kama Mtoto wa Tatu Juzi Hapo Before Ramadan Niliwaongezea Gari Ist Kama Kupata Baraka Kutoa Kwao
Yaani mzee unaweza kumnunulia mtu IST then unalalamika hakuna wa kukupenda Duu hilo tatizo aimaanishi kuwa pesa kuzitumia kama silaha maana utaokota malaya lakini Talking Pesa itself yaani ukiwa na swaga kidogo za kawaida ukajumlisha na pesa ina act kama kirainishi kufanya mambo yawe automatic sasa wewe inawezekanaje aise usipate wa kukupenda.

Kupendwa ni Moment
Mimi naamini sisi tusio na pesa mpaka tunaoendwa inakuwa ni kufosi sana maana uwezo wetu mdogo wa kutengeneza moment ila ukiwa na pesa kutengeneza moment za kupendwa ni rahisi sana.

Kweli lazima uwone unagundu
 
Enzi hizo tulikuwa tunaambiwaga ukifika chuo huwa wanajileta wenyewe.

Labda ningekushauri ujaribu wanachuo kabla hujatoa conclusion. Ila usisahau kuwa Smart (Mentally and appearance) kwisha kazi.
 
Back
Top Bottom