Wahandisi nauliza: Kwanini Tanzania hatutengenezi mfumo maji na taka mapema tunapojenga msingi?

tutafikatu

JF-Expert Member
Dec 17, 2011
3,249
4,486
Nimezoea kuona bongo watu wakibomoa bomoa msingi au kuta walizojenga ili wapitishe mabomba ya maji na choo.

Hivi haiwezekani kutengeneza plan ya maji safi na taka na kujenga mfumo maji na taka mapema kabisa katika hatua ya kujenga msingi ili kila kitu kiwe sawa?
1000078640.jpg

1000078634.png

1000078632.png
1000078629.png
 
Nimezoea kuona bongo watu wakibomoa bomoa msingi au kuta walizojenga ili wapitishe mabomba ya maji na choo.

Hivi haiwezekani kutengeneza plan ya maji safi na taka na kujenga mfumo maji na taka mapema kabisa katika hatua ya kujenga msingi ili kila kitu kiwe sawa?
View attachment 2858077
View attachment 2858068
View attachment 2858069View attachment 2858071
Kuna mbinu mbalimbali ambazo huwa zinatumika kuepusha hizo kero mfano wakati wa kufunga mkanda wa chini, sehemu ambayo bomba ama p-trap inapita nondo za juu huwa zinapindwa kuja kuumana na nondo za chini kutengeneza U-shape na ktk kumwaga zege hiyo sehemu inaachwa wazi, baadae ukija kuset mtego wako unaupachika tu na kuweka mortar.

Hiyo moja lakini nyingine, wakati wa kumwaga jamvi, sehemu zote ambazo utakuja kuweka masink ya choo baadae unaweka tofali au unatengeneza kingo za mbao kufuata vipimo vya sink kabla ya kumwaga zege , hii itakusaidia baadae usitindue floor yako ambapo inaweza ikaleta nyufa ktk floor ama kuta kutokana na ile mitikisiko

Kazi ni rahisi zaidi endapo ukitumia akili nyingi kuliko nguvu
 
Mi huwa nadhani hii ni kazi ya structural engineer kuonyesha michoro ya maji, umeme, n.k. Kisha Civil engineer anapojenga au kusimamia anafuata vielelezo na kuweka kila kitu kama michoro inavyoonyesha au nakosea?
 
Mi huwa nadhani hii ni kazi ya structural engineer kuonyesha michoro ya maji, umeme, n.k. Kisha Civil engineer anapojenga au kusimamia anafuata vielelezo na kuweka kila kitu kama michoro inavyoonyesha au nakosea?
Hapana structure hausiki na hivyo
 
Back
Top Bottom