Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,336
- 20,981
View: https://www.youtube.com/watch?v=mDH3QEXfcD8
Binafsi naona wafungwa wa kike ambao "siyo bikra" na wamefungwa zaidi ya mwezi mmoja wapewe haki ya kufanya mapenzi walau kwa wiki mara moja.
Hili jambo kama wana kataliwa tujiulize je sisi ambao tupo uraiani tunaweza kuishi bila hili tendo takatifu kwa muda gani? Wanapo ingia gerezani waandikishe majina ya wapenzi wao na namba zao za simu, wafanye
Serikali ya Tanzania imesema tendo la ndoa kwa wafungwa sio haki ya msingi na kwamba haki wanayostahili kupewa ni chakula na mavazi. Kauli hiyo inakuja siku chache tu baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumtaka mkuu mpya wa jeshi la magereza nchini humo kuhakikisha wafungwa wanapatiwa haki zao za msingi ikiwemo mahali pazuri pa kulala na chakula.