Raha ya tendo la ndoa wote mfurahie si, kukaa kama gogo kitandani

BabuKijiko

Member
May 3, 2024
8
13
Raha ya tendo la ndoa wote mfurahie si kukaa kama gogo kitandani.

Kufanya tendo la ndoa walikuwa kwenye mahusiano lazima kila mtu afurahie utamu wa tendo la kufanya mapenzi sio kukaa kama gogo kitandani ni aibu sana na hii ndiyo inapelekea walio kwenye mahusiano kuchepuka.
 
Kufurahia na kukaa km gogo ni vitu viwili tofauti.

Mi sipendi mwanamke anaehangaika, atulie asikilizie ukuni na kubadilisha style, kelele anaruhusiwa
sio unambato demu kachomoa ukuni sjui kauweka kwenye mtindi umsugue aaah
 
W
Raha ya tendo la ndoa wote mfurahie si kukaa kama gogo kitandani.

Kufanya tendo la ndoa walikuwa kwenye mahusiano lazima kila mtu afurahie utamu wa tendo la kufanya mapenzi sio kukaa kama gogo kitandani ni aibu sana na hii ndiyo inapelekea walio kwenye mahusiano kuchepuka
Unataka kila mtu afurahie apendacho au unataka ufurahishwe kwa yete kujufanyia upendacho? What if yeye anafurahia kulala kama gogo?
 
yan wew nilkwambia sijiskii ukanilazmisha nkasema sawa bas mm ntalala tu we ukimalza sepa,, umeamua kunianzishia uzi😫😫
 
Back
Top Bottom