Wachina japo kuwa na teknolojia kubwa na elimu ila mapenzi yao yapo kwa wazungu kwenye bidhaa zao zote

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
3,744
9,000
China ndio nchi inayoongoza kwa bidhaa nyingi na teknolojia nyingi ila cha kushangaza kuwa na vyote ila ni wapenzi wa bidhaa za wazungu kuliko zao mfano vifaa vya Apple,kompyuta za makampuni ya kigeni ulaya na usa,vinywaji mfano henesi,heniken na n.k. swala la elimu wanapenda kusoma vyuo vilivyopo ulaya na USA kuliko kwao.

Nipo hapa tanzania lakini kila mchina nakutana naye anatumia Iphone wala sio simu zao
440938350_928074129114838_2139991412743539708_n.jpg
 
China ndio nchi inayoongoza kwa bidhaa nyingi na teknolojia nyingi ila cha kushangaza kuwa na vyote ila ni wapenzi wa bidhaa za wazungu kuliko zao mfano vifaa vya Apple,kompyuta za makampuni ya kigeni ulaya na usa,vinywaji mfano henesi,heniken na n.k. swala la elimu wanapenda kusoma vyuo vilivyopo ulaya na USA kuliko kwao.

Nipo hapa tanzania lakini kila mchina nakutana naye anatumia Iphone wala sio simu zao
View attachment 2980307
Huo utafiti umeufanyia wapi au unahisi tu?...........wachina hupenda kuiga bidhaa mpya kwa kujifanya wanavinunua ili waweze kuvitegeneza pia.
 
China ndio nchi inayoongoza kwa bidhaa nyingi na teknolojia nyingi ila cha kushangaza kuwa na vyote ila ni wapenzi wa bidhaa za wazungu kuliko zao mfano vifaa vya Apple,kompyuta za makampuni ya kigeni ulaya na usa,vinywaji mfano henesi,heniken na n.k. swala la elimu wanapenda kusoma vyuo vilivyopo ulaya na USA kuliko kwao.

Nipo hapa tanzania lakini kila mchina nakutana naye anatumia Iphone wala sio simu zao
View attachment 2980307
ushawahi kukaa china
 
Uko sahihi hata wao wenyewe wanalaumu kuwa kwa Sasa china iko westernized kwenye Kila aspect hata lugha wanajitahidi sana kujua kiingereza na french
 
Back
Top Bottom