very soon kundi moja litawaita waandishi wa habari watatoa tamko la kuchafuana.mkuu,nionee huruma,mbavu zangu mie...
Ha ha ha nimecheka sana magamba wanavyopenda madaraka watauana aiseewanakulama wao kwa wao sasa
Wanaweza pia kusema ni ukawa waamevaa jezi ya ccm we hujui akili za ccm au?Wasingekuwa na Jezi Zao Wangesingizia UKAWA!
mbwa mwitu wakikosa nyama huwa wanamchagua mwenzao aliyechafuka na damu wanamtafuna.wanakulama wao kwa wao sasa
mwanaUKUWA akisogea hapo kwenye huo mlango watamuua.Wanaweza pia kusema ni ukawa waamevaa jezi ya ccm we hujui akili za ccm au
yes watatumia mfuko wa maafa wa chama.Sasa hapo wakitenguana viuno chama kinawahudumia?
Hata mlinzi mwenyewe anaonekana hapo kada wa CCM vita vya Somalia wenyewe kwa wenyewe vimehamia Uvccm Arusha sasamwanaUKUWA akisogea hapo kwenye huo mlango watamuua.
wanajuana hao ndiomaana wanapapasana hapo.
tutegemee press release ya kuchafuana wao kwa wao sasa hivi itatolewa.Yanaruuka na kukanyagana
Bundi atua CCM arusha.
nimependa wote wamevaa sare pendwa za chama.
Njaaa ya posho mbaya sana baada mwende shule msome mtafute fulusa kazi kungangania mzoga kama fisi !!Magamba yameshaanza kuparuana uchu wa madaraka unawasumbua yaache yatoane hata meno kabisa .