Faris Burhan wa UVCCM Hujajiuzulu?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,889
71,410
Huyu kiongozi wa UVCCM huko Kagera aliyesema atawapoteza Wapinzani na polisi wasiwatafute kama atakuwa bado yuko ofisini mpaka kufikia leo jioni baada ya kumsikia Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi basi ni kuwa ndani ya CCM kumeoza kuliko tunavyo fikiri.

Huyu Faris ambaye ameonyesha kiwango cha juu kabisa cha ujinga katika uongozi alipaswa kuwa nje ya ofisi kwani kakianika chama chake kuwa ni wauaji na anamuaibisha Katibu mkuu wao kuwa naye ni muongeaji tuu NO ACTION.
 
Mie sioni ni kwanini ajiuzulu.

Wapo wenyeviti wa vyama vya Siasa nchini wanaopaswa kung'oka, na kuwaachia vijana.
 
Huyu kiongozi wa UVCCM huko Kagera aliyesema atawapoteza Wapinzani na polisi wasiwatafute kama atakuwa bado yuko ofisini mpaka kufikia leo jioni baada ya kumsikia Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi basi ni kuwa ndani ya CCM kumeoza kuliko tunavyo fikiri.

Huyu Faris ambaye ameonyesha kiwango cha juu kabisa cha ujinga katika uongozi alipaswa kuwa nje ya ofisi kwani kakianika chama chake kuwa ni wauaji na anamuaibisha Katibu mkuu wao kuwa naye ni muongeaji tuu NO ACTION

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hii haiwezi kutokea CCM. Sema ni suala la damu za watu zinavyowasonga wauaji. Wavulana wa TISS waliopachikwa UVCCM ndo hawa wanaojiona wanaweza kufanya chochote kupoteza watu na wanawakaripia Polisi wasiingilie.
Umesahau Machengerwa juzi kawaagiza UVCCM Rufiji kuwaumiza wanaosema Bwawa la Nyerere limechangia mafuriko Kwa kiwango kikubwa? Kama Waziri anaweza kutoa maagizo Kwa jumuia ya Chama iumize watu si Bora hiyo Burhan Mbumbumbu?
 
Huyu kiongozi wa UVCCM huko Kagera aliyesema atawapoteza Wapinzani na polisi wasiwatafute kama atakuwa bado yuko ofisini mpaka kufikia leo jioni baada ya kumsikia Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi basi ni kuwa ndani ya CCM kumeoza kuliko tunavyo fikiri.

Huyu Faris ambaye ameonyesha kiwango cha juu kabisa cha ujinga katika uongozi alipaswa kuwa nje ya ofisi kwani kakianika chama chake kuwa ni wauaji na anamuaibisha Katibu mkuu wao kuwa naye ni muongeaji tuu NO ACTION

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Huyu kijana ni Mrundi. Uhamiaji Wanajua ila wamepiga kimya
 
Huyu kiongozi wa UVCCM huko Kagera aliyesema atawapoteza Wapinzani na polisi wasiwatafute kama atakuwa bado yuko ofisini mpaka kufikia leo jioni baada ya kumsikia Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi basi ni kuwa ndani ya CCM kumeoza kuliko tunavyo fikiri.

Huyu Faris ambaye ameonyesha kiwango cha juu kabisa cha ujinga katika uongozi alipaswa kuwa nje ya ofisi kwani kakianika chama chake kuwa ni wauaji na anamuaibisha Katibu mkuu wao kuwa naye ni muongeaji tuu NO ACTION

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
atazawadiwa cheo ndio ujue uongozi ni kwa wale wanaostahili kuongozwa
 
Huyo Mwenyekiti wa vijana wa mkoa wa Kagera, anapaswa ajiuzulu, bila kuchelewa

Kitendo cha Bosi wake, Katibu Mkuu, Dr Nchimbi, kukemea kauli yake na kuiita ya kijinga, basi hapaswi kuwepo tena ofisini kwake.
Kitendo cha Katibu mkuu wa chama kumuita katibu wa mkoa Mjinga maana yake AONDOKE vinginevyo jumuia hiyo mkoa wa Kagera inaongozwa na mjinga na mjinga huwa anaongoza wajinga wenzake na sio werevu.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Huenda aliongea jambo ambalo kila mara CCM wamekuwa wakifanya. Sio rahisi kuropoka jambo ambalo hana uhakika nalo.
 
Huyu kiongozi wa UVCCM huko Kagera aliyesema atawapoteza Wapinzani na polisi wasiwatafute kama atakuwa bado yuko ofisini mpaka kufikia leo jioni baada ya kumsikia Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi basi ni kuwa ndani ya CCM kumeoza kuliko tunavyo fikiri.

Huyu Faris ambaye ameonyesha kiwango cha juu kabisa cha ujinga katika uongozi alipaswa kuwa nje ya ofisi kwani kakianika chama chake kuwa ni wauaji na anamuaibisha Katibu mkuu wao kuwa naye ni muongeaji tuu NO ACTION

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ajiudhuru kwa kosa lipi wakati hicho alichoongea ni moja ya majukumu yao ya kila siku tangu kuasisiwa kwa Chama chao???
 
Back
Top Bottom