Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Una maana hao uliowataja ni wachumia tumbo?taarifa hii ifike kwa Nape Nnauye Lizaboni na wachumia tumbo wote
Una maana hao uliowataja ni wachumia tumbo?taarifa hii ifike kwa Nape Nnauye Lizaboni na wachumia tumbo wote
na beka mkuluu naye katoka jela atawajoin.Hahaha filipo Umeua!! Wapo bwana waliobaki wale wauza vitumbua kina iddi mkuluu,rama na mmbulu mmoja hivi kiherehere
Bundi atamdondokea Sabaya.Na huyo bundi bila shaka atadondoka na mmoja wao daadekiii!!!
Hizi njaa mwaka huu zitawafanya watoane meno kabisa.Njaaa ya posho mbaya sana baada mwende shule msome mtafute fulusa kazi kungangania mzoga kama fisi !!
Hahaha filipo Umeua!! Wapo bwana waliobaki wale wauza vitumbua kina iddi mkuluu,rama na mmbulu mmoja hivi kiherehere
labda.Una maana hao uliowataja ni wachumia tumbo?
Kwenye uchu wa madaraka hapo wanaweza kuuana hawaChama kinaelekea kubaya
Hujielewi
H
Arusha CCM wamebakia masalia wachache ndo hao wanaparuana wenyewe kwa wenyewe.Wewe ndo muongo kupindukia eti hakuna CCM Arusha kwani upo maeneo gani wewe?
Mbona siwaoni makada wa CCM humu Ritz ,Wakudadavuwa ,Lizaboni, FaizaFoxy ,
Huyo amechanganyikiwa achane naye ha hamkuu vipi tena?
Muda huu watakuwa wanachungulia tuu hali mbaya sana bundi ameshatua huko kwako.Hawadhubutu kuleta mimacho yao hapa muda huu ni mpk wakati tumepumzisha mawazo yetu ndiyo wanavamia utafikiri wako msituni!!
Wanagombea madaraka mkuu hapo ofisini wanamzuia mwenzao asiingieWanagombea nn na hawana hata mbunge jirani na hizi ofisi mpaka loliondo uko
nimejaribu kumpigia simu Lizaboni naona simu yake iko busy atakuwa kapiga simu arusha kwa rama mkuluu ampe taarifa kamili za hili tukio.Hawadhubutu kuleta mimacho yao hapa muda huu ni mpk wakati tumepumzisha mawazo yetu ndiyo wanavamia utafikiri wako msituni!!
Kumtumikia mwananchi ambaye hakukuchagua, inahitaji maombi sana, laa sivyo mambo ya mnara wa babel yatawatokea tu
Lete nyundo, wee unaleta koleo...!!!