moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,100
- 2,902
Naona Fundi umekasilika unavyoona jamaa anakimbiza wasaidizi wako wa kaziMalengo ya mtu wewe yanakuhusu nini? Akiwa saidia fundi miaka minne wewe unaumia nini, anakuomba hela ya kula?
Naona Fundi umekasilika unavyoona jamaa anakimbiza wasaidizi wako wa kaziMalengo ya mtu wewe yanakuhusu nini? Akiwa saidia fundi miaka minne wewe unaumia nini, anakuomba hela ya kula?
Nbona watu mnaongea mambo na mnachanganya mambo...hapa tunazungumzia kazi ya kusahidia Fundi....ambayo haitaji kuingia Darasana aseee wewe vipi?Ni sawa na kumwambia nurse baada ya mwaka mmoja awe daktari kamili.
Maswali mazuri sanaMalengo ya mtu wewe yanakuhusu nini? Akiwa saidia fundi miaka minne wewe unaumia nini, anakuomba hela ya kula?