Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,993
- 13,035
Unakutana na kijana ana mwaka wa 4 anafanya saidia fundi
Unakaa unamshangaa , ina maana anafanya hii kazi pasipo malengo yoyote,
Kuna mawili , uachane na hiyo kazi au uwe tayali umejifunza ufundi..
Kinyume na kuendelea kuwa saidia fundi tu miaka na miaka ni kupoteza malengo..
Hakuna aliyepata mtaji kwa kazi ya saidia fundi kama wapo ni mmoja kwa kumi.
Unakaa unamshangaa , ina maana anafanya hii kazi pasipo malengo yoyote,
Kuna mawili , uachane na hiyo kazi au uwe tayali umejifunza ufundi..
Kinyume na kuendelea kuwa saidia fundi tu miaka na miaka ni kupoteza malengo..
Hakuna aliyepata mtaji kwa kazi ya saidia fundi kama wapo ni mmoja kwa kumi.