Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,469
- 2,631
Acha wivuLabda wewe ndo upigwe mkuyenge dem akichoka
Acha wivuLabda wewe ndo upigwe mkuyenge dem akichoka
Tatizo kupata kazi ya ufundiOfcourse, mi mwenyewe nilishamshangaa sana dogo mmjoja amepiga saidia kwa zaidi ya miaka miwili na mpaka leo eti kazi yake ni kukoroga mchanga tu na kuwapelekea mafundi.
Safi mkubwaDogo mambo🙂
Uko sahihi kabisa , hapa nilipo kuna kijana mmoja amesaidia sana ndugu zake kwa kuwatumia kama SAIDIA FUNDI kwa muda na wao sasa ni mafundi na makundi yao.Unakutana na kijana ana mwaka wa 4 anafanya saidia fundi
Unakaa unamshangaa , ina maana anafanya hii kazi pasipo malengo yoyote,
Kuna mawili , uachane na hiyo kazi au uwe tayali umejifunza ufundi..
Kinyume na kuendelea kuwa saidia fundi tu miaka na miaka ni kupoteza malengo..
Hakuna aliyepata mtaji kwa kazi ya saidia fundi kama wapo ni mmoja kwa kumi.
Ndio maana magorofa yanaporomoka au nyumba kuvuja majiNi sawa na kumwambia nurse baada ya mwaka mmoja awe daktari kamili.
Jf Kuna watuLabda wewe ndo upigwe mkuyenge dem akichoka
Yaani unataka kumsaidia demu wa mtu uwe unapigwa miti badala yake. Hell noHivi hamna saidia demu yani niwe nasaidia kupiga mkuyenge
Acha wivu mkuuYaani unataka kumsaidia demu wa mtu uwe unapigwa miti badala yake. Hell no
Ulinganisho wako hauna ulingano.Tuliza akili umuelewe mleta uzi.Ni sawa na kumwambia nurse baada ya mwaka mmoja awe daktari kamili.
Ufundi Sasa hivi lazima uwe na vyeti labda ujenzi unaoongelea wewe ni uwe ule wa kujenga nyumba za uswahilini Lakini majengo yanayohitaji Contrator bila kuwa na vyeti kuajiriwa kama fundi hakupo mtu ataishia kuwa msaidizi wa fundiUlinganisho wako hauna ulingano.Tuliza akili umuelewe mleta uzi.
Huo ufundi wa vyeti ni mpaka uwe na ada ulipe ili uupate.Uzi unaeleza kuhusu simple life ya uswazi.Ufundi Sasa hivi lazima uwe na vyeti labda ujenzi unaoongelea wewe ni uwe ule wa kujenga nyumba za uswahilini Lakini majengo yanayohitaji Contrator bila kuwa na vyeti kuajiriwa kama fundi hakupo mtu ataishia kuwa msaidizi wa fundi
Ulichoka au ulipata ulichokusudia?nakumbuka nimewai saidia fundi wiki moja tu nikaachana nayo
Mkuu hata hayo majengo yanayohitaji contractor,huyo huyo contractor anatumia mafundi ambao hawana vyetu ila Wana uzoefu na wanatoa kitu chenyewe. Contractor kazi yake inakuwa kusimamia tu huwa hawafanyi kazi yoyote.Ufundi Sasa hivi lazima uwe na vyeti labda ujenzi unaoongelea wewe ni uwe ule wa kujenga nyumba za uswahilini Lakini majengo yanayohitaji Contrator bila kuwa na vyeti kuajiriwa kama fundi hakupo mtu ataishia kuwa msaidizi wa fundi
Ni sawa na kutueleza kwamba barabara/reli zetu wamejenga Wachina/Bashing'waa!Wao ni waelekezaji tu.Tunajenga wenyewe.Mkuu hata hayo majengo yanayohitaji contractor,huyo huyo contractor anatumia mafundi ambao hawana vyetu ila Wana uzoefu na wanatoa kitu chenyewe. Contractor kazi yake inakuwa kusimamia tu huwa hawafanyi kazi yoyote.
Ok kwa fundi maiko na mwiko wakeHuo ufundi wa vyeti ni mpaka uwe na ada ulipe ili uupate.Uzi unaeleza kuhusu simple life ya uswazi.
Hiyo ni Kwa local contractor asiye serious na kazi yake na ubora wa kaziMkuu hata hayo majengo yanayohitaji contractor,huyo huyo contractor anatumia mafundi ambao hawana vyetu ila Wana uzoefu na wanatoa kitu chenyewe. Contractor kazi yake inakuwa kusimamia tu huwa hawafanyi kazi yoyote.