Copier
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,463
- 7,544
maombi yako lete kwangu,,,bcoz namba yako nnayo ila ukanizingua kuhusu ile biashara mpaka leo ukapiga kmya
Sent using Jamii Forums mobile app
maombi yako lete kwangu,,,bcoz namba yako nnayo ila ukanizingua kuhusu ile biashara mpaka leo ukapiga kmya
Ahahaha hapana, nikitaka mke huku namwambia/ nakuambia tuu...twende tukamalizie siku zetu duniani Mamii!!
Mwenzangu nina refresh kila muda naona empty
hamna bana you're so beautiful just the way you are. Afu chura kama la sanchi lile dah, sijui mi naona kama ni mzigoo, ila watakuja tu na usisahau kuleta mrejesho na ukipata wengi tupasie na sisi wengineMwenzangu nina refresh kila muda naona empty
Ama nimekosema kuandika ningesema nina chura kama la sanchi eti?
Msaada matron
Sent using Jamii Forums mobile app
fanya kurud saiz kabla wengne hawajaamka ili wakiamka wakute manyoya a.k.a mission completed successfully and deal closed
Hahaaaa utakuwa unavuta ndani dust and shine sio! Magu kashafanya yake nilichapwa kodi hyo sitasahau but ni biashara nzuri sana upepo ukivuma vyemaile kampuni yako ya usafi Bado ipo? Kama ipo Ni Pm nikuvute ndani kimasihara
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka mapenzi ya kweli ya nini na wewe unahitaji mtoto tu? Au mapenzi ya kumpenda mtoto?Huo sio uzuri, uzuri ni kumpata mwenye mapenzi ya kweli.
Jambo ambalo ni gumu mno kuliko kusaka pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameuliza bado ipo?? Kwa maana kama yeye hitaji lake ni mwanamke mchapakazi kitendo cha kuwa na kampuni tu inaonyesha ni mchapakazi tayari bila kujali kama bado ipo au la, na anaweza kuwa kuwa hana kampuni kwa sasa ni mama ntilie si bado anafanya kazi?
Hebu njoo pm huko , nina 18 yrs elimu degree 2 ,mweupeee , nina nyumba 5 na gar muingereza 3 hebu njoo baby tuyajenge na mm mzuri haswaa si unajua wamarangu tulivyoEmoj zimenivunja moyo
Khaa, hii CV editing ni hatari, utafanya wachumba wote waje kwako jamani, sisi wengine tutaponea wapi sasa,miaka 18 una degree 2, ulianza kusoma ukiwa tumboni wewe.Hebu njoo pm huko , nina 18 yrs elimu degree 2 ,mweupeee , nina nyumba 5 na gar muingereza 3 hebu njoo baby tuyajenge na mm mzuri haswaa si unajua wamarangu tulivyo
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk