Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.Utajuaje kama unachitiwa na mpenzi yaan zile stage ambazo za kushtuka kma mpenzi wako
Pole.Utajuaje kama unachitiwa na mpenzi yaan zile stage ambazo za kushtuka kma mpenzi wako
Kabiiiiiiiiiisa
Utajuaje kama unachitiwa na mpenzi yaan zile stage ambazo za kushtuka kma mpenzi wako
Nenda Kwa Mganga akakuangalizie.....(Kwa Kupiga Lamli au Ramri sijui)....Utajuaje kama unachitiwa na mpenzi yaan zile stage ambazo za kushtuka kma mpenzi wako
Acha kumchunguza Bata so long as at that time una-furaha ya kuwa nae wewe endelea kuwa nae..., Hakuna mtu mwenye uwezo wa kuwa na Hati Miliki ya Mtu mwingine.... Enjoy the Moment...
Duuh kwel brohUna maisha marefu sana kwa mindset hii.
Mimi nipo but so unchirted kwa bby angU😅😅😅Samaleko mwandishi!
Tuanze na wewe, tujuze imekuwaje hapo
😂😂😂 ko we atya haikuumi wala duuh kuel umchokaKwa uzee huu mie kusalitiwa asaliti hadi achokee mie nimezeeka aisee
Kuuel unashukuje sasa
Kama hauna ndoa nae, jiulize wewe ulimpataje wenzako washindwe?Utajuaje kama unachitiwa na mpenzi yaan zile stage ambazo za kushtuka kma mpenzi wako