Dr Ismaily
Senior Member
- Dec 24, 2016
- 134
- 251
Nyanyuka mwingine akae
Kuna watu fresh kutoka chuo wanataka nafasi
Kuna watu fresh kutoka chuo wanataka nafasi
Ile ni dawa ya tumbo na Homa.Life style yao,nina mifano miwili hapo,Gamba na Gardner walikuwa na matumizi mazuri sana ya Pombe kali
Au wamaanisha "mabaya", Au "tuache" hivyo hivyo mazuri?walikuwa na matumizi mazuri sana ya Pombe kali
Mzee wa Jungu kuu lisilokosa ukoko alikuwa kijana ?Samadu Hassan
Embu angazia na tasnia ya wanamuziki pia.Wanahabari,
Isack Gamba, Ahmed Juma Baragaza, Fredwaa, Ephraim Kibonde, Agnes Almasy, Samadu Hassan, Gardner G Habash, Prince baina kamukulu na wengine wengi wameondoka wakiwa na umri mdogo.
Inaweza ikawa ni kawaida au isiwe kawaida hasa tukifanya ulinganifu na tasnia nyingine ambazo ni siasa, biashara, sanaa na michezo n.k.
Kama sio kawaida tatizo ni nini? Je? Ni lifestyle, kukosa mazoezi au kuondoana mapema? So much confusing.
Umri mdogo wa kufa ni miaka chini ya 70 ambayo imeandikwa hata kwenye vitabu vitakatifu.Umri mdogo? Huo umri mdogo huanzia miaka mingapi hadi mingapi?Ni sawa na kutueleza kwamba watu wenye albinism huwa hawafi.
Au, kusema wazungu hapa Tanzania hawafi.Si kweli.Uchache wao hutufanya tufikiri hayo.Wanahabari ni wachache ukilinganisha na raia wengine.Wana maisha na hufa.
Tafakari kwa kutulia.Hakuna jipya ofisa!
Inategemea kijiji hadi kijiji.Umri mdogo wa kufa ni miaka chini ya 70 ambayo imeandikwa hata kwenye vitabu vitakatifu.
Ukifa 70+ haifikirishi sana.
Watu msibani watakuwa wanauliza... 'Hivi huyu mzee alikuwa anaumwa nini'...huku wakichati na kinamama kulia machozi ya kulazimisha ya msibani kuonesha naye kalia.
Hivi wale watoto walio kufa Arusha kwa gari lao kutumbukia kwenye mto ni bata gani walikuwa wakila?Nahisi mfumo wa maisha yao unawaweka hatarini.
Wanaishi maisha ya bata sana maana kazi yao haiwafanyi wawe busy.
Kazini huwa wanaingia muda wa vipindi vyao tu. Na vikimalizika wanaenda kula bata
Wameambukizana sana magonjwaIla Sahara media inaongoza kwa vifo
D7 & Amina ChifupaKuna pawa mangwana wa kiss FM,Moses Justin radio one
Umenena Kwa kinahumo Kila mtu na lake !!.
Kikubwa
Tuchukue Tahadhari wakati wa kutumia vyombo vya moto barabarani.
Tulale kwenye vyandarua vyenye Kinga dhidi ya Malaria.
Tunywe Maji safi na Salama Kwa kiwango sahihi.
Tudhibiti au tuache kabisa Pombe.
Tudhibiti au tuache kabisa Sigara.
Tupunguze uzito .
Tupunguze mavyakula ya viwandani na ya mafuta .
Tufanye mazoezi
Matumizi ya Kondomu
Tuwe waaminifu Kwa Wapenzi /Wachumba au Ndoa zetu.
Tutembelee Mbuga za wanyama .
Tujitoe out tupunge upepo.
Tuongee na watu tuwapo na matatizo tunayopitia.
Tufanye uchunguzi wa mwili angalau Kwa mwaka Mara mbili
Wagonjwa wa Magonjwa yasoambikiza , wahudhurie Kliniki, watumie dawa waachane na waganga wa kienyeji.
TUMUOMBE MUNGU
Tuache majungu kazin.
Tufanye kazi Kwa weledi Kila Mmoja Kwa nafasi yake ili Tusionenae wivu maana ndo inafanya tunapeana simu na kulogana.
Mengine wataongezea