Vifo vya mapema ni matokeo ya dhambi za wahusika

jf user

JF-Expert Member
Aug 22, 2018
777
622
Nawez kusema kila mtu amepangiwa muda wake wa kuishi hapa duniani.
Kwa mfano wapo waliokufa muda mchache baada ya kuzaliwa, wapo waliokufa wakiwa vijana n.k
Wapo waliokufa bila kuguswa na wengine wakafa kwa namna mbalimbali.

Sasa mimi nijikite Zaidi kwenye hivi vifo vya mapema chini ya miaka 60.
Naweza kusema huu ni mpango wa shetani au dhambi za mhusika kwa sababu watu wengine wanaamua kwa mioyo yao kutenda maovu kiama chao kikifika ndio hivyo watu wanabaki wakilalamika kwanini yule kaondoka mapema bila kujua kilichopo nyuma ya pazia.

Hayo ya nyuma ya pazia ni dhambi tusipoteza muda kama inavyosema kwamba dhambi huzaa mauti basi tusishangae sana na kama hamuamini mnaweza fanya background check kwa wahusika ndipo mtajua naongea nini hapa.
Kama sio dhambi basi ni shetani naomba tusimsingizie MUNGU kwa sababu MUNGU ni mwema na anapenda watu wake na hata jambo likitokea hakutakua na manung'uniko mengi bali yatapita.

Hivyo vifo huja kwa namna mbalimbali nyingi ikiwa ni ajali, magonjwa kama ukimwi, kuuana, ulevi, kuparalyze, kupoteza wapendwa wako n.k
Mostly ni vifo vya mateso makubwa. Ndoa zisizo dumu, mikosi na mafarakano, kutokufanya vizuri shuleni na maeneo ya kazi yote ni matunda ya dhambi.
Wale wema huishi vizuri na kufa vifo vya Amani kabisa kwa mfano nilisikia habari za babu mmoja alikufa kwa furaha na Amani.

Waovu nao pia unaweza kuwaona wananawiri na kustahi ila tambua tuu tunaishi katika ulimwengu wa kubalance. Dhambi hulipwa hapa hapa dunia au motoni ukifa unaenda kuchoma as still life goes on spiritually.

So tunawezaweza kujifunza hapa.
 
Mkuu,mada yako inafikirisha,ila Nashangaa vifo vingi vya Mapema kwa mtazamo wangu vinatokea Africa Tuu.
Ulaya na Marekani hamna hii kitu,kufa kwa kijana ni Mwiko,
Africa,
Ukimwi,Malaria,Vifo vya Utotoni under 5yrs,Ajali za Magari,Kutekwa,Kuvamiwa,pressure za Maisha,za Kazini,majungu,fitina,Kukosa Furaha zote hizi Africa!
Sins hakika kama zinaendana na Dhambi Mkuu!
Ila Waafrica tuna Roho mbaya sana tuu nimalizie hivyo!
Nawez kusema kila mtu amepangiwa muda wake wa kuishi hapa duniani.
Kwa mfano wapo waliokufa muda mchache baada ya kuzaliwa, wapo waliokufa wakiwa vijana n.k
Wapo waliokufa bila kuguswa na wengine wakafa kwa namna mbalimbali.

Sasa mimi nijikite Zaidi kwenye hivi vifo vya mapema chini ya miaka 60.
Naweza kusema huu ni mpango wa shetani au dhambi za mhusika kwa sababu watu wengine wanaamua kwa mioyo yao kutenda maovu kiama chao kikifika ndio hivyo watu wanabaki wakilalamika kwanini yule kaondoka mapema bila kujua kilichopo nyuma ya pazia.

Hayo ya nyuma ya pazia ni dhambi tusipoteza muda kama inavyosema kwamba dhambi huzaa mauti basi tusishangae sana na kama hamuamini mnaweza fanya background check kwa wahusika ndipo mtajua naongea nini hapa.
Kama sio dhambi basi ni shetani naomba tusimsingizie MUNGU kwa sababu MUNGU ni mwema na anapenda watu wake na hata jambo likitokea hakutakua na manung'uniko mengi bali yatapita.

Hivyo vifo huja kwa namna mbalimbali nyingi ikiwa ni ajali, magonjwa kama ukimwi, kuuana, ulevi, kuparalyze, kupoteza wapendwa wako n.k
Mostly ni vifo vya mateso makubwa. Ndoa zisizo dumu, mikosi na mafarakano, kutokufanya vizuri shuleni na maeneo ya kazi yote ni matunda ya dhambi.
Wale wema huishi vizuri na kufa vifo vya Amani kabisa kwa mfano nilisikia habari za babu mmoja alikufa kwa furaha na Amani.

Waovu nao pia unaweza kuwaona wananawiri na kustahi ila tambua tuu tunaishi katika ulimwengu wa kubalance. Dhambi hulipwa hapa hapa dunia au motoni ukifa unaenda kuchoma as still life goes on spiritually.

So tunawezaweza kujifunza hapa.
 
Unataka kusema watu wanaokufa kwenye majanga kama Ajali ya MV. Nyerere au wale malaika wa Mungu (wanafunzi) waliofariki kule Arusha walitenda dhambi kuliko sisi tulio hai? Na wewe haujafa kwa sababu hautendi dhambi!! Fikiria vizuri mkuu na uache kujikweza.
 
Mkuu,mada yako inafikirisha,ila Nashangaa vifo vingi vya Mapema kwa mtazamo wangu vinatokea Africa Tuu.
Ulaya na Marekani hamna hii kitu,kufa kwa kijana ni Mwiko,
Africa,
Ukimwi,Malaria,Vifo vya Utotoni under 5yrs,Ajali za Magari,Kutekwa,Kuvamiwa,pressure za Maisha,za Kazini,majungu,fitina,Kukosa Furaha zote hizi Africa!
Sins hakika kama zinaendana na Dhambi Mkuu!
Ila Waafrica tuna Roho mbaya sana tuu nimalizie hivyo!
Wenzetu MUNGU kawajalia uwezo mkubwa wa kufikiri kwa hiyo vitu kama hivyo wanajua kujikinga navyo sasa ukija mijinga ya kiafrika inarudia makosa yale yale we wategemea nini? Ni sawa na ametoka chooni anakwambue hukoo usiende wewe kwa ubishi wako unaenda utakachokutana nacho unaanza kufoka sasa alaumiwe nani?

Afrika tuna upeo mdogo mkuu, jamii zote nyingine za ulimwengu zinajitambua ndio maana zipo mbele kwa kila kitu kimhusucho binadamu.
 
Unataka kusema watu wanaokufa kwenye majanga kama Ajali ya MV. Nyerere au wale malaika wa Mungu (wanafunzi) waliofariki kule Arusha walitenda dhambi kuliko sisi tulio hai? Na wewe haujafa kwa sababu hautendi dhambi!! Fikiria vizuri mkuu na uache kujikweza.
Nilisema vipo vifo vya aina mbili!
1/Vya MUNGU.
2/Shetani

Hapo kwenye shetani ndipo nimeelezea Zaidi kwamba watu wakiona vifo vya ajabu ajabu hasa vijana wawachunguze hao marehemu matendo hao hapo duniani halafu wa connect dots.
 
Kbsa vingne n vya kujitakiaa,

Billiona anaamka saa kum na nusu anatafta Funguo ya Range aende gym,
Pangu pakavu unaamka saa nne unatafta yebo ukanunue Maandazi ujaze ma chrolestal mwilin
UMASKIN N LAANA
Tujisaidieje sasa?
 
Kwenye Biblia Yesu alisema wale walioangukiwa na mnara siyo kwamba walikuwa na dhambi ziadi bali tusipotubu yatatupata. Watoto wa Nuhu walikufa si kwa sababu ya dhambi bali ilikuwa ni mipango ya shetani. Kufa mapema inawezekana dhambi na laana zikachangia lakini si wakati wote.
 
Kwenye Biblia Yesu alisema wale walioangukiwa na mnara siyo kwamba walikuwa na dhambi ziadi bali tusipotubu yatatupata. Watoto wa Nuhu walikufa si kwa sababu ya dhambi bali ilikuwa ni mipango ya shetani. Kufa mapema inawezekana dhambi na laana zikachangia lakini si wakati wote.
Wewe kama nguvu na uwezo wa kumsaidia ndugu/rafiki au mpendwa wako utamuacha afe au adhurike?
Kwa mtu mwema najua huwezi fanya hivyo kwa sababu nafsi yako itakusuta! Sasa huyu ni MUNGU ni wa upendo kama anavyojitanabaisha?
 
Wewe kama nguvu na uwezo wa kumsaidia ndugu/rafiki au mpendwa wako utamuacha afe au adhurike?
Kwa mtu mwema najua huwezi fanya hivyo kwa sababu nafsi yako itakusuta! Sasa huyu ni MUNGU ni wa upendo kama anavyojitanabaisha?

Mungu ni Mungu nikisema namfahamu nitakuwa mwongo. Siri za Mungu hazijulikani sana lakini ninachojua Mungu ni wa upendo pale tu unapokuwa umejikabidhi kwake na kumwabudu yeye peke yake. Kuna manabii wake walikufa kwa kuteswa. Kuna nchi ukisema wewe ni mkiristo unafutiliwa mbali. Mpango wa Mungu hasa siyo katika ulimwengu huu bali ni ulimwengu ujao ambao ni wenye kumcha Mungu tu wataingia kwenye hizo mbingu. Cha muhimu hapa siyo kufa, bali unapokufa umejihandaa. Njia ya kweli ni kumpokea Yesu Kristo kuwa mwokozi wa maisha yako hili usamehewe dhambi zako kwa sababu ndiye njia na kweli na uzima. Ukifa wakati umempokea Yesu Kristo katika maisha yako wewe una heri. Mungu mwenyewe anafurahia kifo cha mwenye haki lakini anapolkufa mwenye dhambi Mungu hapendi. Mungu anapenda watu wote watubu waishi maisha yanayompendeza.
 
Nawez kusema kila mtu amepangiwa muda wake wa kuishi hapa duniani.
Kwa mfano wapo waliokufa muda mchache baada ya kuzaliwa, wapo waliokufa wakiwa vijana n.k
Wapo waliokufa bila kuguswa na wengine wakafa kwa namna mbalimbali.

Sasa mimi nijikite Zaidi kwenye hivi vifo vya mapema chini ya miaka 60.
Naweza kusema huu ni mpango wa shetani au dhambi za mhusika kwa sababu watu wengine wanaamua kwa mioyo yao kutenda maovu kiama chao kikifika ndio hivyo watu wanabaki wakilalamika kwanini yule kaondoka mapema bila kujua kilichopo nyuma ya pazia.

Hayo ya nyuma ya pazia ni dhambi tusipoteza muda kama inavyosema kwamba dhambi huzaa mauti basi tusishangae sana na kama hamuamini mnaweza fanya background check kwa wahusika ndipo mtajua naongea nini hapa.
Kama sio dhambi basi ni shetani naomba tusimsingizie MUNGU kwa sababu MUNGU ni mwema na anapenda watu wake na hata jambo likitokea hakutakua na manung'uniko mengi bali yatapita.

Hivyo vifo huja kwa namna mbalimbali nyingi ikiwa ni ajali, magonjwa kama ukimwi, kuuana, ulevi, kuparalyze, kupoteza wapendwa wako n.k
Mostly ni vifo vya mateso makubwa. Ndoa zisizo dumu, mikosi na mafarakano, kutokufanya vizuri shuleni na maeneo ya kazi yote ni matunda ya dhambi.
Wale wema huishi vizuri na kufa vifo vya Amani kabisa kwa mfano nilisikia habari za babu mmoja alikufa kwa furaha na Amani.

Waovu nao pia unaweza kuwaona wananawiri na kustahi ila tambua tuu tunaishi katika ulimwengu wa kubalance. Dhambi hulipwa hapa hapa dunia au motoni ukifa unaenda kuchoma as still life goes on spiritually.

So tunawezaweza kujifunza hapa.
Na kifo kama cha filikunjombe kiko kundi gani?
 
Nilisema vipo vifo vya aina mbili!
1/Vya MUNGU.
2/Shetani

Hapo kwenye shetani ndipo nimeelezea Zaidi kwamba watu wakiona vifo vya ajabu ajabu hasa vijana wawachunguze hao marehemu matendo hao hapo duniani halafu wa connect dots.
Hisia zaidi ya uhalisia.
 
Mungu ni Mungu nikisema namfahamu nitakuwa mwongo. Siri za Mungu hazijulikani sana lakini ninachojua Mungu ni wa upendo pale tu unapokuwa umejikabidhi kwake na kumwabudu yeye peke yake. Kuna manabii wake walikufa kwa kuteswa. Kuna nchi ukisema wewe ni mkiristo unafutiliwa mbali. Mpango wa Mungu hasa siyo katika ulimwengu huu bali ni ulimwengu ujao ambao ni wenye kumcha Mungu tu wataingia kwenye hizo mbingu. Cha muhimu hapa siyo kufa, bali unapokufa umejihandaa. Njia ya kweli ni kumpokea Yesu Kristo kuwa mwokozi wa maisha yako hili usamehewe dhambi zako kwa sababu ndiye njia na kweli na uzima. Ukifa wakati umempokea Yesu Kristo katika maisha yako wewe una heri. Mungu mwenyewe anafurahia kifo cha mwenye haki lakini anapolkufa mwenye dhambi Mungu hapendi. Mungu anapenda watu wote watubu waishi maisha yanayompendeza.
Mkuu hongera umetema madini hapa.
 
, Jim reeves yule mwimba injili aliyemwimbia Mungu Sana, sidhanikama alifikisha 43yrs, Dr Martin Luther King Jrn. Mpigania Haki maarufu Duniani Hakufikisha 40. Haya twende upande- wa pili. Joseph Stalin(mkono wa chuma) Kiongozi katili mkomunist alifikisha 70, bado wako kina Benito Mussolini ambao wali turn 60+.Mzee mzima Bokassa mfalme wa wabantu wote duniani (kama alivyodai) Ali beep 70. Ekhee jirani yetu hapo Ndugu Field Marshall, Dr. Prof. Iddi Amin Dada O.B.E. aligonga 83+ kama sijakosea. Na mambo mambo yake sote twayakumbuka, Sasa mleta mada embu nipe prove juu ya hii Mada yako ulotuletea hapa.
 
, Jim reeves yule mwimba injili aliyemwimbia Mungu Sana, sidhanikama alifikisha 43yrs, Dr Martin Luther King Jrn. Mpigania Haki maarufu Duniani Hakufikisha 40. Haya twende upande- wa pili. Joseph Stalin(mkono wa chuma) Kiongozi katili mkomunist alifikisha 70, bado wako kina Benito Mussolini ambao wali turn 60+.Mzee mzima Bokassa mfalme wa wabantu wote duniani (kama alivyodai) Ali beep 70. Ekhee jirani yetu hapo Ndugu Field Marshall, Dr. Prof. Iddi Amin Dada O.B.E. aligonga 83+ kama sijakosea. Na mambo mambo yake sote twayakumbuka, Sasa mleta mada embu nipe prove juu ya hii Mada yako ulotuletea hapa.
Mbona vifo vya wote hao uliowataja vilikua vya mateso?
1/Stalin aliuawa japo wengi hawalijui hili! kifo chake kilikua cha mateso sana kwani alikosa msaada kwa hiyo muda mwingi alikua akkijikokota mwenyewe. Watu wanasema walimkuta kajikojolea na mipovu kibao.
2/Mussolini alipigwa mawe na kunyongwa hadi kufa yeye pamoja na mkewe.
3/Iddi amini naskia alikufa kwa mateso sana japo sijahakikisha ila ninasikia kansa na kuvuja damu kulimmaliza na alizikwa huko arabuni badala ya nchi yake dhambi ilioje.


NB 1: Maandiko yanasema watu waovu wanaweza kuishi maisha mazuri sana ila mwisho wao ukawa mbaya sana kwa hiyo kwa hoja hiyo hakuna cha kushangaza. Jaribu kufatilia vifo vya madikteta ulimwenguni utaelewa na sema nini. Tafuta watu kama Mao Ze Dong, Mobutu n.k utajifunza kitu.

NB 2: Dhambi huenelea vizazi na vizazi mkuu japokua mhusika anaweza asipatwe na lolote ila watoto, ndugu na kizazi chake kikapata shida! Tazama maisha ya Mobutu utanielewa. Dhambi hupatilizwa mpaka kizazi cha nne.
 
, Jim reeves yule mwimba injili aliyemwimbia Mungu Sana, sidhanikama alifikisha 43yrs, Dr Martin Luther King Jrn. Mpigania Haki maarufu Duniani Hakufikisha 40. Haya twende upande- wa pili. Joseph Stalin(mkono wa chuma) Kiongozi katili mkomunist alifikisha 70, bado wako kina Benito Mussolini ambao wali turn 60+.Mzee mzima Bokassa mfalme wa wabantu wote duniani (kama alivyodai) Ali beep 70. Ekhee jirani yetu hapo Ndugu Field Marshall, Dr. Prof. Iddi Amin Dada O.B.E. aligonga 83+ kama sijakosea. Na mambo mambo yake sote twayakumbuka, Sasa mleta mada embu nipe prove juu ya hii Mada yako ulotuletea hapa.
Analysis nzuri sana mkuu hongera.
 
Back
Top Bottom