OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,372
- 104,447
Nauliza kwa upole, tujadiliane bila jazba.
Sidhani kama kuna mwanaume mwenye mpenzi au mke mmoja tu. Katika marafiki zangu milioni moja huyo mtu hayupo, labda useme huko hali ipoje.
Nimejaribu tu kuwaza, labda ni mpango wa shetani kuchomekea hii itikadi. Alichomekea akijua huu mtego hawa hawatauweza badala yake watadumbukia kwenye dhambi ya uzinzi...simple. Mfano mimi kama kuzini isingekuwa dhambi basi ningeingia mbinguni mapema kabisa.
Mimi sio mtaalamu sana wa biblia, walioichimba vizuri mtueleze kivipi na wapi Mungu alikataza mke zaidi ya mmoja? Isije kuwa ni mpango wa shetani kupotosha ili tubaki na mke mmoja halafu tukazini nje kisha tupate dhambi kizembe kabisa?
Sidhani kama kuna mwanaume mwenye mpenzi au mke mmoja tu. Katika marafiki zangu milioni moja huyo mtu hayupo, labda useme huko hali ipoje.
Nimejaribu tu kuwaza, labda ni mpango wa shetani kuchomekea hii itikadi. Alichomekea akijua huu mtego hawa hawatauweza badala yake watadumbukia kwenye dhambi ya uzinzi...simple. Mfano mimi kama kuzini isingekuwa dhambi basi ningeingia mbinguni mapema kabisa.
Mimi sio mtaalamu sana wa biblia, walioichimba vizuri mtueleze kivipi na wapi Mungu alikataza mke zaidi ya mmoja? Isije kuwa ni mpango wa shetani kupotosha ili tubaki na mke mmoja halafu tukazini nje kisha tupate dhambi kizembe kabisa?