kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,882
- 3,517
Wanahabari,
Isack Gamba, Ahmed Juma Baragaza, Fredwaa, Ephraim Kibonde, Agnes Almasy, Samadu Hassan, Gardner G Habash, Prince baina kamukulu na wengine wengi wameondoka wakiwa na umri mdogo.
Inaweza ikawa ni kawaida au isiwe kawaida hasa tukifanya ulinganifu na tasnia nyingine ambazo ni siasa, biashara, sanaa na michezo n.k.
Kama sio kawaida tatizo ni nini? Je? Ni lifestyle, kukosa mazoezi au kuondoana mapema? So much confusing.
Isack Gamba, Ahmed Juma Baragaza, Fredwaa, Ephraim Kibonde, Agnes Almasy, Samadu Hassan, Gardner G Habash, Prince baina kamukulu na wengine wengi wameondoka wakiwa na umri mdogo.
Inaweza ikawa ni kawaida au isiwe kawaida hasa tukifanya ulinganifu na tasnia nyingine ambazo ni siasa, biashara, sanaa na michezo n.k.
Kama sio kawaida tatizo ni nini? Je? Ni lifestyle, kukosa mazoezi au kuondoana mapema? So much confusing.