Utapata meseji au call kaa kwa kutuliaOi wanangu Kwa tulio omba hamna ambae ameckia ckia Ata update yoyote
Haina noma Ngoja tusubir till to the endmsijari wakuu, information zote zikimaliza kupitiwa, na mipango yote kuandaliwa on how it will be done , makubaliano yakimalizika kwenye vikao vya board taarifa itatolewa na tume na tarehe itatangazwa.
kuweni wavumilivu, soon mtakua updated
Training mwezi wa 6 , vipi kama ikiangukia upo kwenye UE itakuwajeKwa sisi wanachuo tuna 1% ya kupata hizi kazii
Inategemea na training itakuwa kwa mda gani....Hata ikiwa ndani ya UE kama haitokuwa siku ya mtihani ambao nahusika nao nitakwenda katika training hiyoTraining mwezi wa 6 , vipi kama ikiangukia upo kwenye UE itakuwaje
Una kitu kijana upo positive sanaInategemea na training itakuwa kwa mda gani....Hata ikiwa ndani ya UE kama haitokuwa siku ya mtihani ambao nahusika nao nitakwenda katika training hiyo
Unayosema ni sahihi. Watendaji wa hapa mjini wamekaa na hizo bahasha na wamewala watoto wa watu na rushwa za wazi wazi. Watendaji wanajiona madon.Kitendo cha kushusha kwa watendaji wa kata,ni dhahiri wametengeneza mazingira ya RUSHWA,kama tu kipindi cha SENSA.Wanaotoa haya matangazo,wanakua kama vile hawajui utamaduni wa hapa Tanzania.Hapo Kuna barua hazitapelekwa kwa Wakurugenzi,zitaachwa makusudi kwa sababu za itikadi za vyama,wengine hazitapelekwa kwasababu ya watendaji wa kiume kukataliwa kupewa rushwa za ngono na mambo mengine mengi.
Kila la kheri mkuuInategemea na training itakuwa kwa mda gani....Hata ikiwa ndani ya UE kama haitokuwa siku ya mtihani ambao nahusika nao nitakwenda katika training hiyo
Na kwako pia mkuuKila la kheri mkuu
Nashukuru DRUna kitu kijana upo positive sana
Watachaguwa huko hukoKuna zile walitangaza tukatuma maombi kupitia anuani za posta mpaka leo hamna mrejesho au wameanza kuita kimya kimya? Mwenye kujua hili.