Inasikitisha wakati kuna vijana wanahangaika mjini kutafuta ajira bila mafanikio ni dhahiri kwamba baada ya tangazo la tume ya uchaguzi kutangaza nafasi za kazi kwaajili ya uchaguzi mkuu wengi waliojitokeza kuomba ni waajiriwa tayari.
Wengi wao ni walimu na watendaji wa mitaa SERIKALI iliangalie hili wanaotakiwa kupewa upendeleo no wale vijana wanaosota mitaani walimu mlioajiriwa na waajiriwa wengine kuweni na HURUMA
Wengi wao ni walimu na watendaji wa mitaa SERIKALI iliangalie hili wanaotakiwa kupewa upendeleo no wale vijana wanaosota mitaani walimu mlioajiriwa na waajiriwa wengine kuweni na HURUMA