ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,525
- 5,578
Siku hizi ni kawaida kama zitatangazwa ajira zozote za serikali vijana kuhangaika kutafuta watu wa kuwabeba maana kwenye vigezo watumishi wa serikali hawazingatii
Vijana wengi wamekata tamaa ku apply ajira zinazktangazwa na kuziona kama kiini macho tu kwa umma maaana kiukweli serikali wana watu wao waliowapa hela au ndugu zao na masalia ya nafasi hizo ndo hupewa watoto wa masikini kama fungulia dog
Nafasi za kazi tu za muda za sensa zilijaa Rushwa na upendeleo wa wazi lakini hatukuwaona TAKUKURU kukamata wala Rushwa ambao ni Watendaji wa kata
Sasa kuna hizi nafasi za kuandika wapiga kura mdogo wangu kapeleka barua yupo Mwanza akaombwa laki 1 kama rushwa la sivyo asijisumbue,
Sasa kama barua zinatumwa kwa afsa tume ya uchaguzi inakuwaje mtenda wa kata awe na meno ya kujilia marushwa hivi
Ajira za TAMISEMI zinanuka rushwa mbaya
Watoto wa maskini wamezikosa kisa hawana rushwa na connection huko TAMISEMI
Siku hizi watu wana report vituo vya kazi bila dirisha la maombi na usahili kufunguliwa hasa udaktari na ualimu
Kwa mtindo huu serikali mnakatisha tamaa vijana na wazazi wa vijana hao na wanakosa imani na serikali yao.
Watu wana miaka 10 mtaaniwanachukua wa mwaka jana na wote wana sifa sawa kama sio rushwa ni nini?
TAKUKURU na uongozi wa tume huru ya uchaguzi fika ILEMELA MWANZA mjionee rushwa inavoliwa
Hizi ajira za muda zingewalenga vijana waliohitimu vyuoni wasiokuwa na Ajira japo hako kahela kawape mtaji wa kuuzia vitumbua
Kuliko kuwapa walimu wenye kazi na mshahara wao
Vijana wengi wamekata tamaa ku apply ajira zinazktangazwa na kuziona kama kiini macho tu kwa umma maaana kiukweli serikali wana watu wao waliowapa hela au ndugu zao na masalia ya nafasi hizo ndo hupewa watoto wa masikini kama fungulia dog
Nafasi za kazi tu za muda za sensa zilijaa Rushwa na upendeleo wa wazi lakini hatukuwaona TAKUKURU kukamata wala Rushwa ambao ni Watendaji wa kata
Sasa kuna hizi nafasi za kuandika wapiga kura mdogo wangu kapeleka barua yupo Mwanza akaombwa laki 1 kama rushwa la sivyo asijisumbue,
Sasa kama barua zinatumwa kwa afsa tume ya uchaguzi inakuwaje mtenda wa kata awe na meno ya kujilia marushwa hivi
Ajira za TAMISEMI zinanuka rushwa mbaya
Watoto wa maskini wamezikosa kisa hawana rushwa na connection huko TAMISEMI
Siku hizi watu wana report vituo vya kazi bila dirisha la maombi na usahili kufunguliwa hasa udaktari na ualimu
Kwa mtindo huu serikali mnakatisha tamaa vijana na wazazi wa vijana hao na wanakosa imani na serikali yao.
Watu wana miaka 10 mtaaniwanachukua wa mwaka jana na wote wana sifa sawa kama sio rushwa ni nini?
TAKUKURU na uongozi wa tume huru ya uchaguzi fika ILEMELA MWANZA mjionee rushwa inavoliwa
Hizi ajira za muda zingewalenga vijana waliohitimu vyuoni wasiokuwa na Ajira japo hako kahela kawape mtaji wa kuuzia vitumbua
Kuliko kuwapa walimu wenye kazi na mshahara wao