Kwanini Tume ya Uchaguzi haijabadili jina kwenye barua yake ikiwa wanasema kwa sasa wanaitwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,114
110,496
Yaani wenyewe mmetoa Tangazo lenu kuwa kuanzia sasa mtaitwa TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI badala ya TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI halafu katika Barua yenu mmeendelea Kujitambulisha vile vile kuwa nyie ni TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI.

Kuwa Kwangu sasa nchini Uganda haimaanishi kuwa bado siendelei kufuatilia ya huko Tanzania. Badilisheni upesi Okay?

1712862716443.png
 
Yaani wenyewe mmetoa Tangazo lenu kuwa kuanzia sasa mtaitwa TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI badala ya TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI halafu katika Barua yenu mmeendelea Kujitambulisha vile vile kuwa nyie ni TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI.

Kuwa Kwangu sasa nchini Uganda haimaanishi kuwa bado siendelei kufuatilia ya huko Tanzania. Badilisheni upesi.
Tatizo sio akili ila ni Ignorance. Hakuna mwanadamu asiyekuwa na akili , ila kiwqngo cha maarifa uliyokuwa nayo ndo itakudefine we ni mtu wa aina gani.


Mi mwenyewe nimeshangaa.
 
Yaani wenyewe mmetoa Tangazo lenu kuwa kuanzia sasa mtaitwa TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI badala ya TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI halafu katika Barua yenu mmeendelea Kujitambulisha vile vile kuwa nyie ni TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI.

Kuwa Kwangu sasa nchini Uganda haimaanishi kuwa bado siendelei kufuatilia ya huko Tanzania. Badilisheni upesi Okay?

View attachment 2960994
Tume huru si jina ni namna watumishi wake walivyopatikana, waliomo ni wateule na mteule hufuata maelekezo kama alivyosema Magufuli. Tume Huru watumishi wake ni waajiriwa baada ya nafasi za kazi kutangazwa na kuziomba kwa maandishi, hivyo bado hatuna tume huru ya uchaguzi.
 
Tume huru si jina ni namna watumishi wake walivyopatikana, waliomo ni wateule na mteule hufuata maelekezo kama alivyosema Magufuli. Tume Huru watumishi wake ni waajiriwa baada ya nafasi za kazi kutangazwa na kuziomba kwa maandishi, hivyo bado hatuna tume huru ya uchaguzi.
Umeandika vema mkuu,Tanzania bado haina tume huru ya kusimamia uchaguzi huru na wa haki,ila generation ya push back haipo mbali
 
Mleta mada, kiutaratibu Mgeni ukaribishwa na utambulishwa na mwenyeji kwenye hadhara.
 
Yaani wenyewe mmetoa Tangazo lenu kuwa kuanzia sasa mtaitwa TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI badala ya TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI halafu katika Barua yenu mmeendelea Kujitambulisha vile vile kuwa nyie ni TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI.

Kuwa Kwangu sasa nchini Uganda haimaanishi kuwa bado siendelei kufuatilia ya huko Tanzania. Badilisheni upesi Okay?

View attachment 2960994
Elewa neno kubadili jina
 
Back
Top Bottom