Tangazo la ajira za muda tume huru ya uchaguzi

Kitendo cha kushusha kwa watendaji wa kata,ni dhahiri wametengeneza mazingira ya RUSHWA,kama tu kipindi cha SENSA.Wanaotoa haya matangazo,wanakua kama vile hawajui utamaduni wa hapa Tanzania.Hapo Kuna barua hazitapelekwa kwa Wakurugenzi,zitaachwa makusudi kwa sababu za itikadi za vyama,wengine hazitapelekwa kwasababu ya watendaji wa kiume kukataliwa kupewa rushwa za ngono na mambo mengine mengi.
 
Kitendo cha kushusha kwa watendaji wa kata,ni dhahiri wametengeneza mazingira ya RUSHWA,kama tu kipindi cha SENSA.Wanaotoa haya matangazo,wanakua kama vile hawajui utamaduni wa hapa Tanzania.Hapo Kuna barua hazitapelekwa kwa Wakurugenzi,zitaachwa makusudi kwa sababu za itikadi za vyama,wengine hazitapelekwa kwasababu ya watendaji wa kiume kukataliwa kupewa rushwa za ngono na mambo mengine mengi.
Hatari sana
 
Hatari sana
Wajinga sana watoa tangazo,na wanajua dhahiri watu wengi wapo mitaani hawana ajira,wengine ni wahitimu wa vyuo,halafu tangazo linasema NA WALE walioko kwenye ajira pia waombe... ujinga mtupu.
Ngoja watendaji waingize wake zao,mademu zao na ndugu zao.... nchi Ina viongozi wengine wajinga sana,bora zingeombwa online,mchakato ufanyikie juu Kwa juu,kuliko kuwahusisha watendaji,hata kupeleka hizo barua.
Mimi ntapeleka maombi Kwa Mkurugenzi mwenyewe,na ikiwezekana ntatoa MAONI yangu kabisa ofisini kwao kuhusu urasimu ambao nina mashaka,utafanyika kama kipindi cha SENSA.
 
Kitendo cha kushusha kwa watendaji wa kata,ni dhahiri wametengeneza mazingira ya RUSHWA,kama tu kipindi cha SENSA.Wanaotoa haya matangazo,wanakua kama vile hawajui utamaduni wa hapa Tanzania.Hapo Kuna barua hazitapelekwa kwa Wakurugenzi,zitaachwa makusudi kwa sababu za itikadi za vyama,wengine hazitapelekwa kwasababu ya watendaji wa kiume kukataliwa kupewa rushwa za ngono na mambo mengine mengi.
Wanachomeka watu wao wa chama
 
Back
Top Bottom