Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,069
Thank u very much
mambo mke wangu? ushakula?
Thank u very much
Mkuu Invisible onyo lako limekuja kwa wakati muafaka kwani siku za karibuni kuna members kama wawili waliumbuliwa mchana kweupe na mods wakabaki na IDs za awali.
La mwisho ni hate posts! Mtu humjui naye hakujui anapost hate posts!
Tumewachoka!!!
mkuu ujue binadamu tuna njia nyingi za ku attract attention,wengine wanatu provoke makusudi ili tujue wapo.
mambo mke wangu? ushakula?
W/end hii nnajisikia kupiga watu walau 20 ban ha ha ha,,, wacha nianze kupasha...
:fencing:
W/end hii nnajisikia kupiga watu walau 20 ban ha ha ha,,, wacha nianze kupasha...
:fencing:
W/end hii nnajisikia kupiga watu walau 20 ban ha ha ha,,, wacha nianze kupasha...
:fencing:
W/end hii nnajisikia kupiga watu walau 20 ban ha ha ha,,, wacha nianze kupasha...
:fencing:
Mzima bro.. Naelekea ktk harusi sasa hv mshkaji kauacha ukapera
Jambo Jema sana mkuu! Maisha bila ndoa hayajakamilika brother
W/end hii nnajisikia kupiga watu walau 20 ban ha ha ha,,, wacha nianze kupasha...
:fencing: