Swali kwa vijana wa kisasa, hizi nyimbo zinazopigwa na Madj wa kisasa ni kweli mnazipenda au mnafuata mkumbo?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
57,080
94,834
Kwa mtu yeyote yule ambaye ameondowa tongotongo na kutembea nchi za kimagharibi au hata South Africa atakubaliana na hoja yangu.

Unakwenda club au Pub lakini cha kushangaza unakuta mziki wa wavuta cocaine wa ulaya ndio unapata air time na vijana vibe lao linakuwa kubwa, huwa sielewi

Kwa mtu yeyote aliyetembeatembea kidogo anajuwa vizuri ukiwa ughaibuni kuna club za wavuta cocaine, humo ukiingia nyimbo zao wanazijuwa wenyewe.

Ukiwa Mtanzania lazima utaambiwa club za kwenda ili upate fleva unazopenda.

Lakini cha kushangaza sasa hivi tuna pub mitaani ukisema nikapate bia za kukemea uzee utashangaa huo mziki unaopigwa hapo na wenyewe ndio wanamshangalia DJ.

Je ni mimi ndio nimepitwa na wakati au hawa vijana ndio hakuna walijuwalo?
 
Kuna wimbo nliuskia mahali uliniacha hoi sana kipande cha lyrics kinasema "ninalimwaga kojo kojo kojoooo"
 
Amapiano ni mziki sijawahi kuuelewa

Yaani unaingia bar makelele, mziki haueleweki
Hawa madogo sijui wanapendea nini hayo matakataka
 
Mm naonaga ni makelele tu, bora umekaa zako home unashusha mvinyo na playlist muruwaa... muziki ulikuepo zamani.
 
Tumeanza kuzeeka, nyimbo nyingi siku hizi sio my cup of tea.
 
Mm naonaga ni makelele tu, bora umekaa zako home unashusha mvinyo na playlist muruwaa... muziki ulikuepo zamani.
Kosa miziki yote ila si amapiano, haswa wa-SA una vionjo vingi sana, ukimaliza tu kuucheza lazima unywe maji ya kutosha ni zoezi tosha.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Back
Top Bottom