Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    555
Wewe uliyefuatilia hebu nipe mwanga wa hili, jamaa amesema dunia ni tambarare na maji yamezuiliwa kwa mabone makubwa ya barafu. Swali, mwishi wa hayo mabonge ya barafu ni wapi na baada ya hayo mabonge kuna nini!
nimeishia njiani mkuu niliona nachanganyikiwa theory zao nyingi zina mashiko sana. nitaludi kusoma tena haya mambo nikitulia
 
Unajaribu kuongea uongo kwa kufanya comparison na vitu ambavyo vingine haviwakilishi uhalisia,mf.kusema kuhusu bendera ya U.N... kilichofanyika hapo ni kuwa ni kama wame-strech tu kwamba mabara yote yaonekane kwenye bendera. Hivi wangeonesha bara la Ulaya na Asia tu si ungekuja hapa useme huu umoja wa mataifa ni kudanganyana,mbona kuna mabara ya Weupe tu.

Nimesoma 60% ya andiko lako refu naona hakuna sababu yoyote ya Kisayansi ulioitoa.
 
Ndio maana leo hii ni watu wengi sana hawaamini kama Mungu yupo, kwamba hakuna pia mwisho wa dunia.

WATU wanaosoma biblia huchanganya na nadharia za kisayansi kuhusu umbo la dunia. UKISOMA sana biblia, imeandikwa kuwa dunia ni flat, pia imetulia, ukitegemea sayansi za wapagani ndio hizo ambazo zinajitahidi kushawishi watu kuwa hakuna uumbaji uliofanyika bali uibukaji wa vitu, binadamu hakuumbwa bali alitokana na vimelea, na hakuna Mungu wala mwisho wa dunia.

Hii imeleta ndani ya mind za watu kuwa waovu kadiri iwezekanavyo kwa sababu hakuna kuwa na chochote after death.

Na hao mleta uzi unaosema ni ma elites umeshindwa kuwataja ni Vatican na agents zao kama Jesuits, illuminatti, freemason na wengineo wengi. HAWA ndio wameshika miradi yote ya science za kilimo kama mambo ya GMO, spaceprogram zote zipo chini yao Including NASA na karibu everthing iwe ni siasa au uchumi nk.

Na mambo haya wanahakikisha hakuna anayejua na kusambaza. HATA HUU UZI HAUTAFIKA MBALI LAZIMA UFUTWE .
 
Kuna vitu ukiangalia ulivyoandika kuna ukweli fulani hivi ila bado nakuwa na mashaka na baadhi ya theory zako je vipi kuhusu usiku na mchana kama kweli dunia ni flat na vipi kuhusu utofauti wa muda hivi kuhusu jua kua ndio linazunguka dunia kwa hiyo jua ni dogo na dunia kubwa na vipi kuhusu kupatwa inakuaj hapo??
 
sinajinasasa,
Tatizo lenu mnaotetea hii hoja mnaishi kwenye dunia ya kufikirika na pia kukaa kwenye wasiwasi ambao hata nyie wenyewe hamjui kiini chake. Unapozungumzia Jesuits, illuminatti, freemason nk. na kusema wao ndio wameshika mambo yote ya science za kilimo, Je, una udhibitisho wa hilo?

Ulimwengu wa zamani za mwanzo wa hizi dini zetu, walikuwa na maarifa yao ya wakati huo ambayo pia yaliwasaidia sana kwa kipindi chao. Tatizo lenu mnataka tuishi katika ulimwengu wa sasa kwa taaluma/maarifa ya ulimwengu wa zamani zile. Hilo ni gumu kutekelezeka!

Mfano, enzi hizo(biblia) waliamini Ukoma ni ugonjwa uliompata mtu kutokana na laana au adhabu toka kwa Mungu. Ili watu wengine wasiupate, mgonjwa sharti atengwe ili wengine waepuke adhabu(kuugua). Hilo liliwasaidia sana kwa wakati ule. Je tuendelee kufuata na kuamini UGUNDUZI huo wa kale kwenye dunia hii ya sasa?

Tuelewe wazi kwamba ulimwengu tunaoishi kwa sasa ni wa FACTS. Hii ni kutokana na nyenzo,utaalam pamoja na maarifa yaliyopo na ambayo yako bayana na yanayotoa nafasi ya kujua mambo kwa uhakika bila shaka yoyote. Kwamba dunia ni tambarare au duara inabidi unayetetea hoja ujitosheleze.

Tuliofundishwa kwamba ni duara tukaamini hivyo tuna vigezo vya kuamini.
 
INTRO
Watu wengi wanaopenda kudadisi na kutafakari undani na ukweli wa mambo . Mara nyingi hugundua kwamba mfumo wetu wa elimu unamakosa mengi.

Tafakari ni mambo mangapi ambayo ulifundishwa shuleni lakin hukuwahi kuyatumia maishani mwako, na ni mambo mangapi hukuridhishwa na majibu yake ukiwa mdogo au hata mtu mzima ni mengi sana, how many laws, principals, theories and formulas you did not actually understand at all but cram them just to answer the exam. or how many things that do not make sense in real life ni mengi pia.

Ni wazi kwamba mfumo wa sasa wa elimu uliletwa na mkoloni kwa malengo yake ya kutawala watu weusi. Kinachonisikitisha ni kwamba bado tunatumia mfumo uele wa mkoloni alioleta kututawala. its amazing to see that most of the text books we use in schools are written by white people or Indians and we are proud, ingawa tuna miaka 54 ya uhuru.

Tunapata shallow knowlegde kuhusu historia ya mtu mweusi kabla ya kutawaliwa na mtu mweupe.
hata ssa hvi bado tunapewa mitahala na UN under common wealth countries inashangaza sana.

JARIBU KUA NA OPEN MIND NA UTAFAKARI KWA KUTUMIA UTASHI ULIOPEWA.

Tuongelee Duinia
Nadhani kila mtu hapa alifundishwa kuhusu umbo la DUNIA
according to wikipedia (Muundo wa dunia
unafanana na tufe kubwa yenye rediasi ya 6370 km kwa wastani[1]. Tufe la dunia yetu imeundwa kwa tabaka mbalimbali. Sayansi ina njia kuzitofautisha kufuatana na tabia zao.) hivi ndivyo wote tumefundishwa swali muhimu ni kujua maana ya tufe ni nini ?

(picha na maelezo kutoka wikipedia)



Picha ya tufe

Rediasi au nusukipenyo (= r) cha tufe
Tufe ni umbo la gimba linalofanana na mpira au chungwa. Lakini wala mpira wala chungwa ni tufe kamili.

Mwaka huu 2016 tunashuhudia ssa hivi DUNIA ipo katika maendeleo na mafanikio makubwa ya technolojia na sayansi (dunia ya utandawazi)

According to NASA {nadhani wote mnatambua NASA ni nini !!!} safari ya kwanza ya mafanikio kwa binadamu kutua mwezini ilkua mwaka 1969 jully kinachonishangaza pamoja na mafanikio yote ambayo mwanadamu ameyapata mpka sasa hakuna picha halisi ya Dunia duara au tufe picha zote za dunia tufe au duara ni CGI (computer generated image) mara nyingi picha za aina hii huwa na muonekano kama picha halisi lakin sio halisi kwa sababu zinatengenezwa na photoshop au program nyingine za kutengeneza CGI nadhani watu wenye ujuzi wa media na graphics mnaelewa nnachojaribu kuelezea hapa.

Dunia duara (spherical earth) iligunduliwa na (The discovery that the Earth is round is most commonly ascribed to the ancient Greek philosopher Pythagoras, while the credit for proving it is usually given to Aristotle. It appears that most ancient Greek philosophers that followed him believed in a round Earth. Since the records from that time are not perfect, it is quite possible that someone before him was aware of the Earth's round shape.)

Kwa ufupi tunaona kwamba dunia duara ipo mda mrefu sana lakin mpaka leo hakuna picha halisi ya DUNIA yenyewe unaweza kugoogle tafta '' picture of earth from space''

PICHA YA DUNIA KUTOKA MWEZINI ANGALIA TOFAUTI ZILIZOPO
images


images


Na pia kumbuka kwamba Dunia ina mizunguko miwili according to science na hizo spidi ni kali sana. Kwa mfano mzunguko wa usiku na mchana ni kilometer 1000 kwa lisaa hii ni spidi kubwa sana. Mara nyingi tulipokua wadogo tulkua tukiuliza inawezekanaje dunua inazunguka kwa spidi kubwa sana lakin hatuoni chochote, WAALIMU walitwambia ni GRAVITY au gravitation force ndo inavishikilia vitu vyote visidondoke kutoka duniani.... mara nyingi katika topic hii mwanafunzi anakua anajaribu kutafakari haya yote yanawezekanaje lakin jibu kamili hua halipatikani.

rounwrld.jpg

Nadhani mpaka ssa hvi utakua atleast umepata mwelekeo kidogo.. hili swala lipo deep sana na lipo connected mambo mengine mengi ulimwenguni.

Ukweli mwizito ni kwamba dunia ni tambarare na haina mzunguko wowote yani imetulia (fixed) na wanaojulikana kama (ELITES =a select part of a group that is superior to the rest in terms of ability or qualities.) hawa ni watu wanaoiongoza dunia kiutawala kiuchumi kidini na mambo mengine mengi kupitia mitandao yao ilioenea dunia nzima ..hili swala la elites pia linaweza kuzungumziwa separate kwasababu nalo lilpo deep na nivizuri kutambua njinsi media pia zinavotumiwa na viongozi katika uongozi.. kabisa kama nlivosema mwanzo mambo mengi yana husiana (everything is connected) ivi ulishawahi kujiuliza kwanini ramani ya dunia ambayo ipo kwenye bendera ya umoja wa mataifa ipo tofauti kabisa.
images

Bendera ya umoja wa mataifa

Jiulize kwanini ramani ambayo inatumiwa na umoja wa mataifa ni tofauti kabisa na ramani za kawaida? na ijulikane kwamba alama zote za bendera duniani au michoro yoyote kwene bendera inamaana flani au inaashiria kituflamni katika jamii au katika historia kiujumla.

Hii inamaanisha kwamba umoja wa mataifa wanajua kitu kuhusu dunia tambarare. Lakini kwanini wanatuficha?

un.png


Okay tuzungumie kuhusu dunia kua tambarare kwa undani kabisa na ushaidi
ngoja nielezee kwanza muundo wa dunia kutokana na reerch ya flatearth society.

Hoja ni;
Dunia ni tambarare na haizunguki yenyewe wala haizunguki jua bali jua na vitu vyote angani vinaizunguka dunia na milango yetu yote ya fahamu inatuambia hivyo maana jua tunaliona kila siku linavyotuzunguka kwasabu tunaliuona mizunguko yake na pia mwezi na nyota vyote vinatuzunguka hivi ndivyo fahamu zetu zitatuambia na ndo ukweli in short THE EARTH IS THE CENTER OF THE UNIVERSE. Na hili jambo lilikua linajulikana miaka 500 iliopita na pia DINI zote za kale na sasa walizungumzia kuhusu dunia kua katikati ya kila kitu. mfano mzuri ni katika BIBLIA katika kitabu cha mwanzo mungu alielezea vuzuri tu umbo la dunia yetu
Flat-Earth-Memes-57-6.jpg
images

Lakini chakushangaza binadamu tunakataa jinsi fahamu zetu tano zinavyotutuma achilia mbali milango yetu ya fahamu pia katika dini hili swala limezungumziwa lakin bado watu waaamini picha za NASA kwamba wameenda mwezini embu jaribu kukaanje skumoja usiku alafu angaliua mwezi vizuri kwa macho yako na unambie kama kuna mtu kaenda kwene mwezi
  • Dunia ni tambarare na maji yote ya bahari yameshikiliwa na kuta za barafu zilizozunguka dunia nzima
  • images
    images
    images
kama kuna mtu yoyote duniani anae weza kutonesha na kuthibitisha kua dunia ni duara maana yake dunia sio duara na HII infahamika toka zamani
na itambulike vita kati ya dini na wanasayansi na wanafilosofia wa zamani
DINI ZA DUNIA ZILINAJUA DUNIA NI TAMBARARE
1318069305657.png



The Earth has a radius of approximately 3965 miles. Using the Pythagorean theorem, that calculates to an average curvature of 7.98 inches per mile or approximately 8 inches per mile.
hii inamaana kua dunia inaanza kupinda au ku curve kwa nchi 8 kwa mile moja hii inamaanisha kwamba kwamfano kuna point mbili A na B mtu wa A hatoweza kumuona mtu wa B alie mile kumi au hata ishirini je hii ni kweli?
angalia kwa makini uelewe
bedford-experiment.jpg
bedford-rowbotham.jpg


Hii ilijulikana sio kweli kwasababu ya uwepo wa camera na vifaa vyenye nguvu kwa watu tofauti na zamani hizi zifuatazo ni picha zinazoonesha umbali mkubwa ulioweza kuonekana katika camera na vifaa vingine na zote hizi hazioneshi curveture yoyote angalia
bedford-level.jpg
flat-earth-is-flat.jpg

Nimejaribu kutoa mwanga tu kwa wataopenda kujua ukweli na kufatilia kuhusu flat earth nenda utapata kila kitu IFERS

Ukitaka kuelewa hili swala pamoja na mambo mengine usiyoyajua na agenda za dunia fatilia kuhusu
JARIBU KUFATILIA UKWELI SSA HVI KUNA MAKUNDI MENGI YA WATU WANAAMKA NA KUGUNDUA HAYA MAMBO KIMSINGI HUU NDIO UKWELI WA MSINGI WA KWANZA .. SABABU ZA HAWA ELITES NA INTERNATINALISTS KUFICHA HUU UKWELI PIA ZIPO ,,,,,,, CATCHUP TO REALITY FATILIA KUHUSU DUMBING DOWN OF THE SOCIETY NA THE USE OF MEDIA ON MASS CONTROL
HAYA YOTE NI KUTUFUNGA TUSIJUE UKWELI?/
KUMBUKA THOSE WHO CLAIM TO HAVE THE TRUTH ARE EASILY DECEIVED
  1. PIA FATILIA KUHUSU WHY NO ONE IS ALLOWED TO GO TO ANTARTICA
  2. FLATEARTH SOCIETY YOU TUBE INA VIDEO NYINGI KUHUSU HILI SWALA
  3. THE BEST NARRATOR IS ERIC DUBAY ACCORDING TO ME
  4. PIA FATILIA KUHUSU CHEMTRAILS AND FOOD POISONING
  5. KIKUBWA FATILIA KUHUSU UWEZO WA BINADAMU KIROHO/NAFSI PIA KUHUSU PINEAL GLAND NA THIRD EYE HII HAINA MAUSIANO NA DINI ZETU INFACT KILA MTU ANATEZI KATIKATI YA UBONGO INAITWA PINEAL HII NDIO HUMFANYA MWANADAMU KUA NA UWEZO WA KIROHO NA NAFSI ...HAYA MAMBO YAPO LAKIN HATUFUNDISHWI ..
  6. PIA FATILIA KUHUSU NEW WORLD ODER KIUNDANI
  7. PIA JARIBU KUFATILIA ANCIENT HISTORY AND KNOWLEDGE ( ANCIENT CIVILAIZATION)
  8. FATILIA ATLANTIAN CONSPIRACY
  9. THERE ARE NO SETTEKITES IN SPACE
  10. NASA IS A HOAX
  11. GLOBAL WORMING AND CLIMATE CHANGE IS A HOAX
  12. PIA FATILIA GEORGIA GUIDE STONES
  13. KIUFUPI BINADAMU TUNAUWEZO MKUBWA SANA LAKINI HATUJITAMBUI
  14. MANY OF THE THINGS WE KNW ARE JUST ALLEGORIES AND PLANE FACE LIES
  15. HII HAIWEZEKANI.......

WE ALL LIVE FOR A PURPOSE AND THE EARTH IS THE CENTER OF THE UNIVERSE
BIG BANG NA EVOLUTION THEORIES NI UMBEA NA PROPAGANDA

THIS POST WAS PUBLISHED BY ERIC DUBAY @ATLANIAN CONSIRACY BOOK
For daring to spread this most important and overlooked truth, I have received death threats, lost friends and family members, had my forum shut down, and been kicked off Facebook thrice and counting. As damning and easily provable as is this fact of Jewish Freemason control, there is one other incredible fact which has also been held from humanity for 500 years now. This fact is even more damning and more easily provable, and is also a direct result of the Jewish Freemason control over the minds of the masses worldwide. It is the most marginalized, ridiculed, censored and hidden fact in history. If this fact was made known to the world at large, just this one fact, has the power to completely transform the world and everyone in it for the better, holistically, in a myriad of ways. Our rulers are well aware of this, and that is exactly why this truth has been held from us so expertly for so long. It is about the truth of who we are, where we come from, the actual position and significance of humans, Earth, the Sun, Moon, and stars.

The fact is: The Earth is flat and motionless. That is all. And that is the revelation that will finally break the matrix. You have been taught from the earliest ages that you live on a spinning ball. That NASA has sent men to the Moon, that satellites are hovering in perpetual orbit overhead, that an International Space Station contains astronauts free-floating above us, that the Earth is a ball that tilts, wobbles, spins on its axis and revolves around the Sun, and that all these and you are the result of a Big Bang cosmogenic explosion 14 billion years ago which created everything out of nothing. Yet nothing could be farther from the truth.

13254105_10154190157034293_7954312585114140960_n.jpg


The truth is simple and easily proven. You can see for yourself the horizon is always flat and you can measure using sextants, theodolites, and lasers to prove the Earth and its massive oceans have absolutely no curvature whatsoever. You can feel for yourself that the Earth beneath you is motionless and you can measure as Michelson, Morley, Gale, Sagnac, Airy and other scientists have to prove that the Earth is completely motionless. That's right. It has been long proven by several scientific experiments, even in the elitist "peer-reviewed journals" you critics constantly harp on about, that the Earth is a stationary plane. The reason you haven't heard about it before is because the media is controlled by the same people who created this deception. The only time you have ever heard a "Flat Earther" mentioned in the media, it was in jest or ridicule. The only thing you have ever heard about "Flat Earth" is that its adherents are ignorant idiots. Sorry to burst your space bubble, but if you still think you're living on a spinning ball in 2016, you my friend, are the ignorant one.

13615254_10154988989848916_7297770299845639125_n.jpg


Millions of people worldwide are waking up to this incredible re-discovery and this "Flat Earth movement" has the potential to bring about positive change on a unprecedented level. Like a balloon held underwater for 500 years, the momentum of truth rising to the surface is causing and will continue to cause huge ripples in the control system. As the spinning ball-Earth is finally being exposed worldwide for the 500 year deception it was, Earth's entire population is suddenly being faced with the reality that every government, every space agency, university, secret society, religious organization, mainstream and alternative media outlet have ALL been duplicitous in propping up a monstrous manipulation to fleece and control the masses. The resulting mass mental exodus away from the control system is exactly what humanity needs. Once the flat Earth truth gets out, these lying politicians, spokesmen, reporters and teachers suddenly change from being heralded voices of authority to being ridiculed, shunned and denounced as they deserve. Once the flat Earth truth gets out, these governments, universities, media outlets and other entangled organizations which have long been hard at work weaving this multi-generational cosmological myth, suddenly and completely lose all credibility. Once the truth of our flat Earth gets out, so does the truth of these few elite families/societies who have kept this most important and fundamental reality from us for these hundreds of years! Essentially, once the flat Earth truth gets out, so does every other important truth by proxy, because this "mother-of-all-conspiracies" holds under its umbrella literally ALL of the other conspiracies, and exposes them.

As a result of deeply understanding this and wanting to bring about a better world, it has become my life mission to spread the flat Earth truth to everyone. I have written two books on the subject, "The Flat Earth Conspiracy" and "200 Proofs the Earth is Not a Spinning Ball." I have re-started the International Flat Earth Research Society and maintain a website with hundreds of articles on the subject. I have done flat Earth radio interviews, made flat Earth FAQs, flat Earth shirts, written flat Earth rap songs, audio/video books, documentaries, and created every other kind of media I can think of to try and promote this message.

Now in just a few short years, thanks to the efforts of the rapidly growing flat Earth community, this has gone from a completely unknown, undiscussed topic to one of the highest ranked google search terms on the internet with tens of millions of hits monthly. If you still haven't done your due diligence in researching to know for yourself 100% that you are living on a flat, stationary plane, please look into the links provided. And for those of you who do know, I implore you to help my mission Operation: Spread Flat Earth Truth.

Simply knowing the truth yourself will not and cannot save the world. The only way to save the world is for the whole world to know the truth. As a means to that end, the most important type of activism anyone can be doing right now is spreading these important truths on a mass scale. There are innumerable creative ways to help achieve this; the following are several effective methods myself or friends have had success with:

1. Conversation: One of the best ways to engage people with the flat reality is through conversation. Asking leading questions, dropping hints, or just telling people various proofs and evidences is a great way to wake people up. This only works, however, if you are very knowledgeable about the subject yourself and able to answer every possible question without hesitation like the liars at NASA do.

2. Viewing Parties: Another good way to engage people is by getting them to agree to sit down and watch an informative documentary on the subject such as my videos "The World's Biggest Secret," or "The Masonic Matrix Manipulators" After watching you can then do your best to field any questions people may have.

3. Book Gifting: A great indirect way of engaging people is by buying and giving them copies of "The Flat Earth Conspiracy" and "200 Proofs the Earth is Not a Spinning Ball" or other good books on the subject. If you own flat Earth books yourself, be sure to let friends and family borrow them as well.

4. School Projects: If you are currently in school or university, a great way to expose this information is by writing essays or doing projects which tackle various aspects of ball-Earth pseudo-science or expose true flat Earth findings.

5. Social Media: I have had great success using social media to spread flat Earth truth. Simply create accounts with all the big social media sites like Facebook, Google+, Twitter, LinkedIn, Instagram, Reddit, StumbleUpon etc., join relevant groups and pages, follow people interested in related subjects, and post the best flat Earth material you can find to as many places as you can, as often as you can. Don't bother arguing with the trolls and closed-minds that will inevitably hound you, but rather focus on dissemination, spreading the message far and wide. If people ask genuine questions, be sure to answer, but anyone merely looking to ridicule should be left alone to talk with themselves.

6. Use YouTube and Other Video Sharing Sites: With 13 million hits and growing, my YouTube channel has done an excellent job spreading this message. We need more people to start flat Earth YouTube and other video sharing site channels, however, either creating original content or just re-uploading other good content. I personally have given everyone permission to use any/all of my content to help spread the word. Once you upload a new video to YouTube, then go to all your social media accounts and post each new video to all the relevant pages, groups and timelines you can.

7. Translations: For multi-lingual flat Earthers, one of the best things you can do is help translate good flat Earth material into your native tongue. My book "200 Proofs Earth is Not a Spinning Ball" has now been translated into 12 different languages and counting, reaching people who would otherwise never have a chance of understanding this material, the majority of which currently exists only in English.

8. Graffiti/Artwork: Another great method of spreading the word is through artwork or graffiti. Writing important search terms or keywords and phrases on paper money is also very effective. On the borders of your dollar bills, simply write AtlanteanConspiracy.com, IFERS.123.st, the Earth is Flat!, Google Flat Earth, Google Eric Dubay, or other such messages.

9. Pamphleteering/stickers: Creating small brochures or stickers with flat Earth information on them and handing them out in public spaces is an excellent way to spread the word. Compile several photo proofs or text proofs and put them in an easily printable and readable format then hand out as many as you can.

10: Radio/TV Show Call ins: Many different TV and radio shows give their viewers/listeners the opportunity to call in and talk with the host about certain subjects. A great way to spread the word is either by calling into these shows and engaging them on the subject on the spot, or contacting their producers before-hand and seeing if you could actually be interviewed.

There are an infinite number of creative ways we can spread this most important message, but the key is numbers and consistency. We need to hit a critical-mass tipping-point of awakened individuals dedicated to helping unplug everyone else from the spinning ball-Earth matrix. If you have figured out the truth of our flat Earth and realize the amazing positive implications of this being exposed worldwide, please join me on my mission to help spread flat Earth truth to the entire flat world
empty.gif
by Cannalive on Sat Oct 29, 2016 11:25 pm

I was told about this in jest. But once I got curious, I openly learned more and became awake. If you truly want to wake up and find the edges of your cage, you eventually cannot get over the hurdle of flat earth. Even when meeting a new friend and getting high together we both subconsciously brought up flat earth during our discussion, not really taking it seriously...until I said something that blew his mind. A simple truth about time zones if the sun was so far away. That was when I realized we have so much ability to slip into someone's conscious thought by redirecting away from the subject itself head on and slip through one of the many backdoors of logical.
Cc Kiranga
 
Ngorunde,
Ushahidi au evidence ninayo! wewe nina uhakika huna uhakika na unachong'ang'ana nacho...umefundishwa na kukaririshwa kama mtoto asiyejitambua.

Ushahidi kuwa dunia ni flat upo dhahiri na wazi

1. Maji naturally ni flat haiwezekani bahari na maziwa yakae kwenye round ball. Wewe kwa ujinga utasema yanakaa kwa nguvu za uvutano wa dunia, sio kweli.

2. Maji pia hufuata mkondo, yaani yanatoka kwenye miiniko kwenda bondeni mfano maji ya Victoria kuelekea Mediteranian, dunia isingekuwa flat yasingefika huko.

3. Ungekuwa rubani wa ndege ungetambua kuwa unapokuwa hewani akiisha kaa kwenye degree zone fulani hakuna muda unabadilisha angle kufuatia bending.

Unataka kuendelea kuamini ujinga wa kukaririshwa kuwa dunia ni sphere kwa sababu tu ya upatikanaji wa usiku na mchana?

Mungu mwenyewe namna alivyoitengeneza mifumo ya jua na mwezi hakuna binadamu anayejua. Hao NASA na CERN wanatumabia kutoka Big bang theory kuwa the Universe is Expanding, na hizo nyota tunazoziona juu ni makundi ya nyota yaani galaxies, na umbali wake ni milions of light years, hii yote ni uongo kama ilivyo uongo kwenye kipimo cha carbon14, Hizi zote theory knowledge ni global agenda na imefanikiwa sana. Wapagani sasa ndo wameshika hatamu.

Na siwasingizii Vatican kuwa wapo behind yote haya, nadhani kwa kuwa huielewi historia ya hizi dini na historia ya ulimwengu na empire zake. Na kwa sababu huelewi hayo hujui sasa hivi tupo wapi katika historia na hivyo basi hujui tunapopelekwa na hii historia. Wakati wewe kazi yako ni kula, kunywa na kulala wapo wanaume duniani wanaishi wakifikiria wakufanyie nini ili uwe mtumwa wao. Tafakari, naamini muda sio mrefu moderators wataambiwa wauondoe uzi huu.
 
Uzuri ni kwamba, si NASA peke yake iliyofanikiwa kwenda nje ya dunia. Mataifa ya Uchina, Urusi, India nk hakuna aliyesema dunia ni tambarale.

Ukweli utabaki pale pale, ukianza safari kutoka point A kuelekea mashariki au magharibi kwa kipindi fulani utajikuta umerudi pale pale ulipoanzia safari. mfano mtu akianza safari ya kuelekea China kutoka Africa, akifika China anaweza kuvuka bahari ya Pacific hadi USA. kisha kutoka USA akavuka bahari ya Atlantic kurudi Afrika...

sidhani kama dunia ni tambarale hili linawezekana?

Kwa wanaofatilia makala za kisayansi wamepata kuona hata wanafunzi wakiwa field katika bara la Antarctica.
binafsi iko duara.
 
Duh! Hahahhaha, huyu jamaa kama sikosei ni msabato. Tena umbumbumbu wake unajipambanua kwa jinsi asivoweza kuandika kiswahili kwa ufasaha. Ni heri ya mjinga atafutaye elimu kuliko mbumbumbu ajifanyaye anajua, ni janga! Haiingii akilini katika karne hii ya sayansi na teknolojia, mpaka live feed kutoka ISS zipo kwa watu wanaotaka kushuhudia na kujifunza! Ni aibu sana.

Ndugu moudytunechi naomba nikuulize maswali moja tu kabla hatujaendelea kujadiliana!
  • Unaweza ukatuonesha ramani ya dunia bapa, na magema ya ukingo wa dunia?
 
moudytunechi,
Hii elimu siasa nyingine. Napenda kutambua uwepo wa Chama duniani Flat earth society wanaoeneza elimu hii.
Kabla sijazama ndani zaidi na kufuatilia hii mada naomba mwandishi nikukumbushe yafuatayo.

1: Galileo hajawahi kuwa mgiriki Bali ni muitaliano.
2: Kusema Dunia ni flat sio elimu mpya Bali imekuwepo miaka mingi na Dunia inamshukuru Galileo kwa kutambua Hilo na kuwaangusha Wagiriki walioamini uzushi wa Aristotle na hizo dini uliyotaja zilizokuwa zinafundisha Dunia ni tambarare iliyobebwa na tembo kobe Mara nyoka.

3: Moja ya utetezi wa watu hawa yaani flat earth society ni uwepo wa Ile bendera ya UN. Hivi kama mimi ni naanzisha taasisi ya kidunia na Nataka mabara yote yaonekane in 2D nitafanyaje Bila kuweka kama inavyoonekana UN.

Nitapita baadae ila research ndani zaidi ili utendee haki wasomaji wako. Hilo Labda ukiamini kama dini ila sio science maana Kuna laws lukuki za physics inabidi zivunjwe ili hili wazo uliolileta like halisi.

Badaebdae kdg
 
Uzuri ni kwamba, si NASA peke yake iliyofanikiwa kwenda nje ya dunia. Mataifa ya Uchina, Urusi, India nk hakuna aliyesema dunia ni tambarale.
ukweli utabaki pale pale, ukianza safari kutoka point A kuelekea mashariki au magharibi kwa kipindi fulani utajikuta umerudi pale pale ulipoanzia safari. mfano mtu akianza safari ya kuelekea China kutoka Africa, akifika China anaweza kuvuka bahari ya Pacific hadi USA. kisha kutoka USA akavuka bahari ya Atlantic kurudi Afrika...
sidhani kama dunia ni tambarale hili linawezekana?
kwa wanaofatilia makala za kisayansi wamepata kuona hata wanafunzi wakiwa field katika bara la Antarctica.
binafsi iko duara.

Sijawahi kuona uzushi mkuu kama huu. Na aibu kubwa runners wa haya mawazo ya kizamani mwenyekiti wa taasisi ni Evolutionist kwa sababu anajua fika bibilia inakubaliana na wkin Galileo na NASA. Nilitegemea kwenye pics zake anionyeshe spaces photo au satellite photo to support his arguments. Analeta picha zilizopigwa ambazo sio reliable maana zinarepresent tiny particle ya Dunia.

Pili aeleze ni kwa vipi Russia ipakane na ulaya wakati huohuo inapakana na us kwa umbali uliochini ya km4 huko Alaska. Na kama Russia wasingewauzia marekani eneo lote la Alaska hoja hii ingeeleweka mapema zaidi.

Kazi kweli kweli
 
Thibitisha nadharia yako. Unapoambiwa dunia ni tambarare unaweza kutoka sehemu 1 ukazunguka dunia bado ukarudi pale pale ukajichorea duara lako.
labda nijaribu kutoa mfano: ukitoka Afrika ukafika Amerika (mfano Alaska); ukapata safari ya kwenda China, je! ni lazima urudi Afrika? Je! huwezi kuvuka bahari ya pacific kwenda china? kama utafika china kwa njia hiyo, kufika Afrika utarudi kwa utaratibu wa kawaida kupitia nchi za arabuni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom