Gamaha
JF-Expert Member
- Jul 17, 2008
- 3,817
- 4,872
nimeishia njiani mkuu niliona nachanganyikiwa theory zao nyingi zina mashiko sana. nitaludi kusoma tena haya mambo nikituliaWewe uliyefuatilia hebu nipe mwanga wa hili, jamaa amesema dunia ni tambarare na maji yamezuiliwa kwa mabone makubwa ya barafu. Swali, mwishi wa hayo mabonge ya barafu ni wapi na baada ya hayo mabonge kuna nini!