Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,615
- 10,116
Alafu fahamu watanzania million 61 hawawez wote kuwa wakulima hizo kazi nyingine atafanya naniNarudia Tena. Mungu ni fundii, hadhihakiwiii. Utayakumbuka haya maneno
Alafu fahamu watanzania million 61 hawawez wote kuwa wakulima hizo kazi nyingine atafanya naniNarudia Tena. Mungu ni fundii, hadhihakiwiii. Utayakumbuka haya maneno
Hahahah kila trip million 10 hata mimi ningelia 😀😀😀Wanajikutaka wanajua sana kilimo lakin ukweli ni kwamba madalali ndo wanaolalamika
Mfano kuna dalali nilikua naongea naye juzi mwaka jana kila trip moja ya kenya anakua na faida ya million 10 mipaka ikifungwa kwanin asilalamike
wewe kalime acha kutaka dezo au kubali bei ya soko
shukrani kwa kunielewa nduguNimependa hii statement
"Mimi ni mmoja wa Watanzania wasiokupinga wala kukubali sana nipo 50% 50%"
Inatia moyo kusikia bado kuna wa Tanzania sincere
huo ndo ujinga wa kuudhibiti, dalali wakija 10 kijijini wanapandisha bei na sio lazima mkulima auze siku hiyo hiyoHuyu jamaa hajui kitu. Yeye anadhani bei inapandia shamba. Shamba anakuja dalali tu. Leo anauza mahindi kilo 800 kesho yameisha analetew unga kutoka mjini anauzia 2400 kilo na hela yenyew alikunywq ulanzi kipindi anasherehekea mavuno. Anarudi Tena kulaumu serikali
mimi sio dalali nilikimbia kilimo kikubwa kwa sababu ya bei kuyumbishwa na serikaliKweli kabisa mkuu,..😂😂
Samia shikilia hapo hapo mbwa Hawa walikuwa wanakutukana kucha kutwa wakati umeruhusu mazao kwenda Nje na bei kuwa Juu..
Mbona Mwendazake hamkuchukia na bei za mazao zilikuwa za kutupa? Anawalinda Wanyonge,Wanyonge si ndio wenye nyie au? 😁😁
Mumewe akimpenda inatosha wewe ongeza juhudi za kumchukia.
Dalali wa Wakenya fuata utaratibu
SAWA KABISA NDO VYEMA ILI ICHOCHEEEE WATU KUWEKEZA KNYE KILIMOWananchi wanafki sana. Hivi unajua mkiuza chakula nje Cha ndani kisipotosha mtaenda kukinunua Tena? Mnajua mtauziwa kias gan?
Na mauza nje, chakula Cha ndani kikapanda bei unajua kama hakitashuka na mpaka mbegu zitapanda?
Wewe ni dalali. Mmewadhulumu wakulima mazao yakiwa shambani kaeni nayo stoo.wewe kalime acha kutaka dezo au kubali bei ya soko
Ningekuwa dalali sawa tena ningeficha tu store mbona kitapanda tu keshokutwaWewe ni dalali. Mmewadhulumu wakulima mazao yakiwa shambani kaeni nayo stoo.
Weka stoo Mkuu, subiri yapande utauza tu. Hili la kuzuia uuzaji holela wa chakula nje ya Nchi tena Kwa wageni kwenda mashambani wenyewe na kuweka vibarua Lina athari kubwa Kwa nchi. Mimi Muda mwingi Niko wilayani huko mkoa wa Iringa na nasafiri mara nyingi kwenda vijijini. Nawaona wakulima wanavyosumbuka ikifika mwezi August tu. Mtu aliuza mahindi debe 8000 yakiwa shamba, mwezi August/Septemba ameishiwa anaanza kununua Debe 30000 na faida mnayodanganya aliipata mkulima haionekani. Matokeo yake wanaanza kulalamikia chakula cha msaada toka serikalini.Ningekuwa dalali sawa tena ningeficha tu store mbona kitapanda tu keshokutwa
Kwanini wauze chote si auze kiasi na kingine ahifadhiWeka stoo Mkuu, subiri yapande utauza tu. Hili la kuzuia uuzaji holela wa chakula nje ya Nchi tena Kwa wageni kwenda mashambani wenyewe na kuweka vibarua Lina athari kubwa Kwa nchi. Mimi Muda mwingi Niko wilayani huko mkoa wa Iringa na nasafiri mara nyingi kwenda vijijini. Nawaona wakulima wanavyosumbuka ikifika mwezi August tu. Mtu aliuza mahindi debe 8000 yakiwa shamba, mwezi August/Septemba ameishiwa anaanza kununua Debe 30000 na faida mnayodanganya aliipata mkulima haionekani. Matokeo yake wanaanza kulalamikia chakula cha msaada toka serikalini.
Waziri amesema aliruhusu watoke Kwa faini na watu wako radhi kulipa faini.hili tangazo ni sahihi sana na ni kweli lazima wanunuzi wawe na vibali halali , shida ni wiki hii Tarakea wamezui hata wenye leseni halali