Washinde forums za elimu wajisomeeTatizo hawajalipiwa ada ndio maana yake
Ni Wewe juzi umetoka kusema tukupigie hesabu mshahara wako unatoka na take home kiasi gani maana ndo umepata kazi saizi .... Jana mchana unasema jamaa aliyekuunganishaga kazi kila mwezi Hua anafoki umtatulie shida zake,, mara na Leo huu tenaKwanini?
Hizo sinema zenu.....za kitoto sabaa mtuache tunafuatilia kayiba mpyaWataalam,
Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.
Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.
Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.
Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.
Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.
Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.
Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.
Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Acha kutuwekea chai bila Sukari. Siku hizi tunatumia Asali. ingekua kisa cha ukweli usingekuja kutuambia... Mbongo na makri za mtelezo wa pexa ni msiri nmo!!!Wataalam,
Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.
Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.
Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.
Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.
Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.
Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.
Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.
Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Fundi hajamaliza kumshonea sare.Mpaka hizi tarehe bado kuna wanafunzi hamjaliport shuleni,tatizo nini?
😀😀😀Fundi hajamaliza kumshonea sare.
Kijana acha uongo, kuna uzi umeutuma juzi kuwa umepata kazi halafu mademu wanajipendekeza kwako, sasa hao usalama wanakufatilia hadi kazini unapoenda? Hao mademu unaosema wanakufata hadi ukaomba ushauri wa kuchagua yupi, kwanini hawaziiwi na hao usalama?Wataalam,
Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.
Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.
Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.
Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.
Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.
Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.
Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.
Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Sasa mkuu ndo nivumilie papuchi mara moja kwa mwaka?Mi nakuamini .
Ushauri ni ukilala na mtu ndio kwisha utarudi mbagala
We acha tu, kokote niliko wakoKijana acha uongo, kuna uzi umeutuma juzi kuwa umepata kazi halafu mademu wanajipendekeza kwako, sasa hao usalama wanakufatilia hadi kazini unapoenda? Hao mademu unaosema wanakufata hadi ukaomba ushauri wa kuchagua yupi, kwanini hawaziiwi na hao usalama?
Napenda mtelezo ndio...tatizo ni iyo papuchi mara moja kwa mwakaAcha kutuwekea chai bila Sukari. Siku hizi tunatumia Asali. ingekua kisa cha ukweli usingekuja kutuambia... Mbongo na makri za mtelezo wa pexa ni msiri nmo!!!
Kama bunti wa Kigogo anazingua tafuta Binti wa kisambaaWataalam,
Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.
Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.
Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.
Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.
Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.
Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.
Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.
Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Ndo mademu wanakuja mpaka kwako kupika na kufua mashuka na umesema usalama wanakufatilia, Inamaana hawawazuii hao mademu? Au kukuchoma kwa demu wako wa Uingereza? Huoni umetunga nyuzi mbili zinazokinzana ili kutudanganya?We acha tu, kokote niliko wako