Nipeni ushauri: Haya mahusiano na mtoto wa kigogo yananitesa

Mleta mada wahi hospitali ya Mirembe kichaa kinakunyemelea wahi kabla hujatupa nguo zote na kutembea uchi mitaani
 
Wataalam,

Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.

Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.

Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.

Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.

Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.

Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.

Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.

Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Hizo sinema zenu.....za kitoto sabaa mtuache tunafuatilia kayiba mpya
 
Ukizidiwa si unapanda ndege tu kwani UK si masaa tu nane umefika unamwaga unageuka
 
Wataalam,

Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.

Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.

Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.

Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.

Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.

Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.

Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.

Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Acha kutuwekea chai bila Sukari. Siku hizi tunatumia Asali. ingekua kisa cha ukweli usingekuja kutuambia... Mbongo na makri za mtelezo wa pexa ni msiri nmo!!!
 
Wataalam,

Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.

Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.

Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.

Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.

Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.

Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.

Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.

Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Kijana acha uongo, kuna uzi umeutuma juzi kuwa umepata kazi halafu mademu wanajipendekeza kwako, sasa hao usalama wanakufatilia hadi kazini unapoenda? Hao mademu unaosema wanakufata hadi ukaomba ushauri wa kuchagua yupi, kwanini hawaziiwi na hao usalama?
 
Kijana acha uongo, kuna uzi umeutuma juzi kuwa umepata kazi halafu mademu wanajipendekeza kwako, sasa hao usalama wanakufatilia hadi kazini unapoenda? Hao mademu unaosema wanakufata hadi ukaomba ushauri wa kuchagua yupi, kwanini hawaziiwi na hao usalama?
We acha tu, kokote niliko wako
 
Wataalam,

Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.

Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.

Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.

Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.

Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.

Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.

Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.

Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Kama bunti wa Kigogo anazingua tafuta Binti wa kisambaa
 
We acha tu, kokote niliko wako
Ndo mademu wanakuja mpaka kwako kupika na kufua mashuka na umesema usalama wanakufatilia, Inamaana hawawazuii hao mademu? Au kukuchoma kwa demu wako wa Uingereza? Huoni umetunga nyuzi mbili zinazokinzana ili kutudanganya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom