Nini faida ya kumiliki gari?

Maisha yamebadilika sana,kuna watu wanaishi kwa kuwaumiza wenzao. Watu kama hawa mikosi na mabalaa ikianza kuwaandana ndiyo wanajazana makanisani kutafuta unafuu. Ndiyo hapo sasa wachungaji wanapoponea na wao.
Mkuu mbona kama nakuelewa hivii halafu sikuelewiii EB fafanua pliiiz
 
Unakuta mtu anakatwa anabaki na laki4 unusu kisa mkopo wa ist, lakinne hiyo hiyo ajazie petrol, service, alipe kodi ya nyumba,alipe ada watoto, ajenge, avae, ale ndiyo maana wakati mwingine kwa nyie wenye vipato duni pandeni daladala tu msijifunge tai shingoni inayowaumiza.
 
Kwa wenzetu gari ni sehemu ya maisha yao. Mfano states nyingi za USA hazina public transport, yani ukiwa huna usafiri wako basi utapanda uber mpaka basi. Public transport nyingi ni za state to state hasa hasa treni za mwendokasi.

Sasa tukija kwetu Afrika ni kituko. Kwanza wengi wanadhani gari ni moja ya kipimo cha mafanikio which is not true. Wengi wanaomiliki gari Afrika ni mizigo kwao kwani gharama za kuyarun ni mzigo kwao.

Wenzetu wanamiliki gari ili yawasaidie kwenye everyday life tofauti na sisi huku tunaonunua gari just for show-off.
Unforgetable

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakuta mtu anakatwa anabaki na laki4 unusu kisa mkopo wa ist, lakinne hiyo hiyo ajazie petrol, service, alipe kodi ya nyumba,alipe ada watoto, ajenge,avae,ale ndiyo maana wakati mwingine kwa nyie wenye vipato duni pandeni daladala tu msijifunge tai shingoni inayowaumiza.
Kumbuka kuna gari na usafiri. Usafiri upo mpaka wa laki 9. Jamaa yangu kamkopesha mtu pesa kashindwa kulipa kachukua usafiri kwa 1milion. Marekebisho yamemgharimu laki 4, nafikiri anampango wa kuliuza.
 
Unakuta mtu anakatwa anabaki na laki4 unusu kisa mkopo wa ist, lakinne hiyo hiyo ajazie petrol, service, alipe kodi ya nyumba,alipe ada watoto, ajenge, avae, ale ndiyo maana wakati mwingine kwa nyie wenye vipato duni pandeni daladala tu msijifunge tai shingoni inayowaumiza.
Advice to young generation ukweli usafiri is no longer luxury it is necessity.

Muhimu angalia uwezo wako ukiona kipato chako kidogo na bado umepanga una familia unasomesha pengine una nyumba ndogo usichukue mkopo ajili ya gari kumbuka gari is another family.

Ukiweza chukua mkopo ukafungua biashara ndogo ndogo utafikia mahali ka IST ni kakufikia.

My own experience nina gari mbili nimenunua bila kukopa popote sidaiwi na mtu.Ujana wangu wote sikupenda manjonjo ya ujana kwa uzeeni sasa ndio nimekuwa nayo na ndio yananisaidia vile kutembea kwenyewe shida lingine linaniingizia hela.

Msiniige vijana maana kwa Dar hii theory yangu sio applicable sana. Ila mikoani hakuna mateso ya joto wala msongamano pressure ya nini.

Narudia gari ni muhimu mno ila angalia urefu wa kamba yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom