Ina rahaa sana hiii kituu... faida yake kama ni mtu wa road trip .. pia unaweza park mahala huwashi A.C wala nini unalifungua juu hukooa linapokea upepo.. hasara zake vumbi kuingia ndani ya gari mazingira yetu mengi machafu.. faida zipo zaidi ya hizo lakinjNaomba faida na hasara zake kwenye gari, je kwa mazingira ya bongo ni vyema kuwa na gari lenye sunroof?
Nb: Mtandaoni nimekutana pia na kitu kinaitwa moonroofView attachment 2698204
...na hasara zipo zaidi ya hizo lakini.Ina rahaa sana hiii kituu... faida yake kama ni mtu wa road trip .. pia unaweza park mahala huwashi A.C wala nini unalifungua juu hukooa linapokea upepo.. hasara zake vumbi kuingia ndani ya gari mazingira yetu mengi machafu.. faida zipo zaidi ya hizo lakinj
kila ntu na mtazamo wake... labda na kunyewe na ndege likiwa wazi nayo hasara.. pia.. hata mademu wakali wanapenda sana hizo za sunroof...na hasara zipo zaidi ya hizo lakini.