Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,214
42,087
Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma! Na fikira zikanijia kuwa kuna uwezekano mkubwa wana Jf nao wamenufaika lakini nimefanikiwa kumjua mwana Jf mmoja tuu hapo ! Vijana hizi fursa hamkuziona? Au hamkutangaziwa?
eda6bf7eaef5b932a0137577a85bbce7.jpg
2a26e9d7bf1a85df0d31f1bfdc6d3b51.jpg
c6a82f90bf1c59a38468a182542c7645.jpg
f06cd64b362c8c2f4cc320474b94bac8.jpg
f6cab15e1888347f948fb40a433751d6.jpg
20240421_135245.jpg
 
Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma! Na fikira zikanijia kuwa kuna uwezekano mkubwa wana Jf nao wamenufaika lakini nimefanikiwa kumjua mwana Jf mmoja tuu hapo ! Vijana hizi fursa hamkuziona? Au hamkutangaziwa?
View attachment 2969892View attachment 2969893View attachment 2969894View attachment 2969895View attachment 2969896View attachment 2969897
Mungu ampe pumziko la Amani Dr Magufuli huko aliko.
 
Back
Top Bottom