Ney wa Mitego kawatolea ngoma ''Kataa ndoa''

Kweli Nakataa ndoa kwa sababu binafs na siwez mshawish mtu maana wenda ipo siku nami nitabadili mawazo, Ila kuweka maudhui haya katika Record/muziki ni Upumbavu ProMax unaidhihirishia dunia kias gani wewe ni Mjinga au Mhuni.

Kataa ndoa sio Sifa japo kuna Hoja hapo😁
Hoja zipo nyingi sana.
 
Kia mtu na maisha yake, katu siwezi poteza nguvu zangu kumuaminisha mtu jambo, sio ndoa, sio dini, sio chochote.
 
1Timotheo 4:1 “Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;

2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;

3 wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli”.
 
1Timotheo 4:1 “Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;

2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;

3 wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli”.
Hapo namba 3 wanaongelewa Watawa wa Kikatoliki?
 
Back
Top Bottom