tss
Member
- Aug 31, 2023
- 73
- 38
Habari ndugu zangu ,Mimi ni mhitimu wa kidato Cha sita,Katika maisha yangu ya elimu nilikuwa natamani niwe daktari wa moyo( cardiologist) sasa matokeo yangu so mazuri kivile kwa PCB nina phys-E,chem-D na bios-C,sasa Kwa elimu yetu ya Tanzania physics nmeanguka kw ajili ya kukidhi vigezo vya kusoma udaktari nchini,sasa nilikuwa naona nitafute nafasi Kwa nchi zingne nikasome .Je nawezaje kupata scholar ship itakayoniwezesha kusoma nje ya nchi,au nisaidieni nchi yenye vyuo vya gharama ya chini kusoma na maisha ya kuishi.Nawasilisha wakuu