Staphylococcus Aureus
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 1,385
- 2,203
- Thread starter
- #41
Kukaa ndani sio issue, tafuta kijiwe kale Skanka!
skanka ndo nn
Kukaa ndani sio issue, tafuta kijiwe kale Skanka!
Nenda kafanye kazi
Rafiki anaanzaje kuomba mtoto? Au kuna kitu unalenga kwenye huo urafiki? Una uhakika sio nyeg.e hizo zinakudrive?Hivyo nahitaji rafiki yeyote wa kuchat naye asiwe anaomba hela wala mtoto
Rafiki anaanzaje kuomba mtoto? Au kuna kitu unalenga kwenye huo urafiki? Una uhakika sio nyeg.e hizo zinakudrive?
Rafiki anaanzaje kuomba mtoto? Au kuna kitu unalenga kwenye huo urafiki? Una uhakika sio nyeg.e hizo zinakudrive?
Nina changamoto ya kushindwa kutoka nje yaani nakaa ndani sana nikitoka mjini mara moja au kwa shida maalum.
Sasa nimeambiwa hili tatizo litaniletea madhara!!Hivyo nahitaji rafiki yeyote wa kuchat naye asiwe anaomba hela wala mtoto
Nawasilisha
Una umri gani kwanza kaka?tuanzie hapo kwanza maana umesema hutaki mtoto
Una umri gani kwanza kaka?tuanzie hapo kwanza maana umesema hutaki mtoto
huna haja ya kuwa na rafiki,wewe fanya haya:Nina changamoto ya kushindwa kutoka nje yaani nakaa ndani sana nikitoka mjini mara moja au kwa shida maalum.
View attachment 2876590
Sasa nimeambiwa hili tatizo litaniletea madhara!!Hivyo nahitaji rafiki yeyote wa kuchat naye asiwe anaomba hela wala mtoto
Nawasilisha
Kuna mwamba anapigwa chepe leo Aridhi ikiwa na ikiwa teke teke kwa mvua yeye alinzaa kujifungia ndani toka mwaka jana juzi katuma watoto dukani yeye kajipiga kitanzi nenda kacheze draft kijiweni
huna haja ya kuwa na rafiki,wewe fanya haya:
1.anza kutoka mwenyewe jirani na kwako,kuna baa nyingi chagua moja,nanda,kaa hapo kunywa kinywaji unachokunywa utakuta wanywaji wenzio anza kuongea nao,ndipo utabadilishana nao mawazo
2.kila siku nenda baa mpya
3 wikiendi nenda bichi kaa huko mpaka usiku,kwa utaratibu huo utauondoa huo upweke wako
Kama ni mwanamke hakuna shida ila kama ni mwanaume toka upambane mwanangu yaani we toka tu jilazimishe