under timer
JF-Expert Member
- Dec 25, 2021
- 267
- 384
Natumai mko vizuri kiafya, nina kiduka cha bidhaa mchanganyiko kama dona, mchele, mayai, pipi mixer mafuta nauza rejareja na mungu anajalia angalau riziki kidogo naipata.
Sasa kuna ndugu nashirikiana nao maana mie ni kijana mwepesi leo utanikuta dukan kesho namwachia shemeji wa kiume apige show me najikita ktk site za watu kupiga vibarua ili kipato kisogee. amin mungu anajalia ila sasa shida ipo kwa msaidizi sio mwepesi na pia anaonyesha dalili za kutokuwa mwaminifu.
Kabla ya shemeji alikuwepo mtoto wa kaka ang nae ni kichwa maji anawaz starehe kaz hataki lakini nikakumbuka kuna rafiki ang tulisom naye asa hivi yupo JKT, hakika ni mwelevu mchapakaz na mwaminifu na hizi sifa huwa naziona kwa mama ake ndo nikawaza yakuwa hivi siwezi pata mdogo ake na huyu rafk ang mwenye sifa km zake ili nimchukue tukomae naye.
UTATA NILIONAO
Sasa kuna ndugu nashirikiana nao maana mie ni kijana mwepesi leo utanikuta dukan kesho namwachia shemeji wa kiume apige show me najikita ktk site za watu kupiga vibarua ili kipato kisogee. amin mungu anajalia ila sasa shida ipo kwa msaidizi sio mwepesi na pia anaonyesha dalili za kutokuwa mwaminifu.
Kabla ya shemeji alikuwepo mtoto wa kaka ang nae ni kichwa maji anawaz starehe kaz hataki lakini nikakumbuka kuna rafiki ang tulisom naye asa hivi yupo JKT, hakika ni mwelevu mchapakaz na mwaminifu na hizi sifa huwa naziona kwa mama ake ndo nikawaza yakuwa hivi siwezi pata mdogo ake na huyu rafk ang mwenye sifa km zake ili nimchukue tukomae naye.
UTATA NILIONAO
- Je atakuwa mchapakazi
- Ni mwaminifu toka moyon au ni muigizaji
- Je, nikimchukua ndugu zang watachukua hatua gan, kushirikiana nae au ndo watakuwa warusha vijembe..... daaah mawazo yenu tafadhari