under timer
JF-Expert Member
- Dec 25, 2021
- 279
- 407
- Thread starter
- #21
Uku kwenye kitovu cha nchiYeah 😂
Uku kwenye kitovu cha nchiYeah 😂
Uku katikat mwa nchiKabila gani hilo mkuu?
🤣🤣we zungukazunguka tu wakuminye naniliu🤨Uku kwenye kitovu cha nchi
Awap🤣🤣we zungukazunguka tu wakuminye naniliu🤨
Umefurah🤣🤣we zungukazunguka tu wakuminye naniliu🤨
Unaambiwa zimwi likujuwalo halikuli likakwishaNdg lawama huwa nafananisha na kinyesi tu kina thamani kikiwa hakijatoka kikitoka hata kukitizama ni ukakasi
Napenda kufurahi sana mkuu....maana nikikasirika paa linang’oka🙏🏽Umefurah
Aslay akikusikia atakutukana vibaya muno!! Mbolea ni maliNdg lawama huwa nafananisha na kinyesi tu kina thamani kikiwa hakijatoka kikitoka hata kukitizama ni ukakasi
Aaah weee linimalize tuUnaambiwa zimwi likujuwalo halikuli likakwisha
Ingekuwa mali yangetunzwa kabatiniAslay akikusikia atakutukana vibaya muno!! Mbolea ni mali
Haya bana uko vizurNapenda kufurahi sana mkuu....maana nikikasirika paa linang’oka🙏🏽
Kama ndugu anawekeza na yeye nusu ya mtaji sawaukiendekeza ndugu utavuna mabua.!!!
Kuna jamaa apa Kariakoo aliingia hasara ya 42m mwezi ulioisha kisa ndugu, mzigo wa Jersey umetolewa Airport fresh tu ila ukapigwa juu kwa juu haukuonekana dukani na mhusika ni ndugu yake.
Nilimshauri ampeleke Msimbazi Police ale virungu kidogo akadai ooh ndugu watamchukuliaje, oovyo kabisa.!!
Ugogoni?Uku katikat mwa nchi
YeahUgogoni?
Hela ni yako usiogope fitna na maneno ya ndugu kwa sababu hata ukiwasaidia haimaanishi ndio umeyaepuka majungu na vijembe. MbukweeenyiYeah
Haya mambo hayana formula maalum. Japo nakubali kuwa ndugu wengi huwa na kawaida ya kubweteka, lakini kuna familia zenye ndugu wazuri sana sana na ni waaminifu. Kwa mfano mimi ndugu zangu wote wa kuzaliwa naweza kuwaamini wakati wowote. Tumebahatika sana kwenye kuaminiana kutokana na malezi tuliyopata.Ovyo kweli kweli undugu lawama sana.
MbukwaHela ni yako usiogope fitna na maneno ya ndugu kwa sababu hata ukiwasaidia haimaanishi ndio umeyaepuka majungu na vijembe. Mbukweeenyi
KwakweliHaya mambo hayana formula maalum. Japo nakubali kuwa ndugu wengi huwa na kawaida ya kubweteka, lakini kuna familia zenye ndugu wazuri sana sana na ni waaminifu. Kwa mfano mimi ndugu zangu wote wa kuzaliwa naweza kuwaamini wakati wowote. Tumebahatika sana kwenye kuaminiana kutokana na malezi tuliyopata.