luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,261
Hahaha Mangi una vitukoKila la kheri na Mungu akutangulie katika haja ya moyo wako.
Siku nitakayopata ujasiri wa kupima labda ndio siku nitakapokuwa nimeshakupoteza....
Mimi kupima labda nishikiwe mtutu wa bunduki huku nikibebwa na greda la Manispaa ya Kinondoni.....