Weka namba tukutafute na upo mkoa ganiMimi Ni mwanamke,miaka 32, watoto wawili...baba wa watoto tumeachana mda kidogo...sijakata tamaa Wala,nayapenda Maisha kweeli.Nimeajiriwa.Natamani nipate mwanaune ambae Ni HIV POSITIVE Kama Mimi ili tutengeneze familia....upweke unachosha..karibu PM
Huyu mzab zab nae alishaandikaga uzi akitafuta mwanamke mwenye status kama hiyo.Bushmamy🥰
Ni kweli..japo sio rahisi kumpata
Kila la kheri na Mungu akutangulie katika haja ya moyo wako.Mimi Ni mwanamke,miaka 32, watoto wawili...baba wa watoto tumeachana mda kidogo...sijakata tamaa Wala,nayapenda Maisha kweeli.Nimeajiriwa.Natamani nipate mwanaune ambae Ni HIV POSITIVE Kama Mimi ili tutengeneze familia....upweke unachosha..karibu PM