BabyMamy
JF-Expert Member
- Apr 18, 2017
- 272
- 421
- Thread starter
- #41
Dear Aspirin,God bless you.am a woman,nina maeneo mengi ambayo yatanifunga nipime , especially nikiwa mjamzito🥰Kila la kheri na Mungu akutangulie katika haja ya moyo wako.
Siku nitakayopata ujasiri wa kupima labda ndio siku nitakapokuwa nimeshakupoteza....
Mimi kupima labda nishikiwe mtutu wa bunduki huku nikibebwa na greda la Manispaa ya Kinondoni.....