Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

is there any relationship between the earth revolution and life of human being and biodiversity in general?why if the earth wasnt revolve around the sun,does it mean there would be no any living things would survive?if yes,what would be there?
 
good idea! lakini wakuu tusiji-limit kwenye geography na linguistics tu. wadau kuweni huru kutupia swali la somo lolote la O au A level linalokusumbueni na wadau watasaidia kukokotoa/kutoa majawabu.
 
Naona hapa kama hakuna walimu kabisa.maana full kuchapia tu.kwa somo la kiswahili sekondari nione mim hapa.
 
OK. what are the challenges of translation
with examples identify principles of translation
ntashukuru kwa majibu
 
katika dunia ya leo ya habari(information age) fedha ni muhimu sana, je ni kwanini mfumo wetu wa elimu hautoi fursa kwa wanafunzi kujua mfumo na tabia ya fedha katika dunia na uchumi wa kibepari(capitalism) ili kuzalisha watu huru(wanaojiajiri) badala yake mfumo wa elimu unatengeneza watu wanaotegemea kuajiriwa?

NAOMBENI WATU WALIO KWENYE SEKTA YA ELIMU WANIPE MAWAZO KTK HILI
 
Kwa ufupi watu wameleta mizaha, na kejeli, cjaona aliejenga swali thread nzima kwa nia ya kutaka kufundishwa, wengi wapo nje ya madhumuni ya Uzi huu

Tanzania nchi ya kusadikika sana kwenye vitu makini watu wana mizaha, kwenye mizaha wanachangia kwa makini

Nenda MMU utajua nnachomaanisha
 
marriage has been has been considered as a social obligation in african societies but it end up with a lot of conflicts.by using two plays you have done,show the positions of a mother in african families
 
geography has been considered as a disciplinary subject in our social,political and economical life.why geography is considered as a disciplinary subject in our social,political and economical life?
 
Kwa ufupi watu wameleta mizaha, na kejeli, cjaona aliejenga swali thread nzima kwa nia ya kutaka kufundishwa, wengi wapo nje ya madhumuni ya Uzi huu

Tanzania nchi ya kusadikika sana kwenye vitu makini watu wana mizaha, kwenye mizaha wanachangia kwa makini

Nenda MMU utajua nnachomaanisha



mkuu hebu nisaidie kusikitika! mtu anauliza swali ambalo hata si swali ni statement yaan? akikosea mtu badala yakumsahihisha kisomi ni kejeli sina hata hamu yakuingia humu mi naona watanzania waflashiwe ubongo upya maana
 
Back
Top Bottom