Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Naomba viashiria vya kuwa mtu flani ni mfanya biashara au nini kitanionesha kwamba mimi ni mfanyabiashara?
 
ni vizur mtu aulize swali ambalo anahitaji ufafanuzi na si kuuliza tu ilimradi na wew umeuliza, ama kuuliza kitu unachokifahamu ili upime watu. msomi ni yule aliyekomboka kifikra na mtazamo. ahsanteni

kweli mkuu, na ni vyema mtu uka specify somo,ili swali lako lijibiwe kwa muktadha wa somo husika.
 
humu wote siasa na history.
sln
y+180-3y +180-3y=180
y+(180-3y)2=180
y+360-6y=180
y-6y=180-360
-5y=-180
-5y/-5=-180/-5
y=36
. ' .y=36.

kama huitaji msaada bora usilize tu, usijifanye unajua sana hesabu wapo wanaojua zaidi yako..
mtu aliyeelimika hawezi kufanya ulichokifanya wewe. badilika mkuu, kile unachokijua wasaidie wengine kuliko kujitamba nacho.
 
humu wote siasa na history.
sln
y+180-3y +180-3y=180
y+(180-3y)2=180
y+360-6y=180
y-6y=180-360
-5y=-180
-5y/-5=-180/-5
y=36
. ' .y=36.

Kamanda hiyo pembe ni pacha so ukichukua 3y ya nje ujumlishe y iliyopo ndani kwenye mstari mnyofu ili kupata thamani ya y, hutapata 180,
Na pia uliambiwa pembe za ndani zote ni y, hivyo ukiamua kuzifanya kuwa 36 hazitakuletea jibu stahiki.

Hivyo nachoamini umerong labda wenzangu watakuwa wana majibu zaidi.
 
Kamanda hiyo pembe ni pacha so ukichukua 3y ya nje ujumlishe y iliyopo ndani kwenye mstari mnyofu ili kupata thamani ya y, hutapata 180,
Na pia uliambiwa pembe za ndani zote ni y, hivyo ukiamua kuzifanya kuwa 36 hazitakuletea jibu stahiki.

Hivyo nachoamini umerong labda wenzangu watakuwa wana majibu zaidi.

Ona swali vizuri,y ni angle ya ndani juu na mbili zilizo baki ndo pacha za chini, moja ya pacha angle ya nje yake endo 3y ili kupata ya ndani ni 180-3y ambapo itafanana na nyenzie ili kupata jumla ya ndani ambayo ni 180 itakubidi ujumlishe (180-3y) + (180-3y) + y =180 .hapa pacha ni mbili na y ni ya juu. hapa imeeleweka y
./_\_3y na y ikae ndani juu
 
Ona swali vizuri,y ni angle ya ndani juu na mbili zilizo baki ndo pacha za chini, moja ya pacha angle ya nje yake endo 3y ili kupata ya ndani ni 180-3y ambapo itafanana na nyenzie ili kupata jumla ya ndani ambayo ni 180 itakubidi ujumlishe (180-3y) + (180-3y) + y =180 .hapa pacha ni mbili na y ni ya juu. hapa imeeleweka y
./_\_3y na y ikae ndani juu

kama umesema pembe tatu pacha.. au naota?,

alafu unasema pembe mbili ndio pacha,
je hapo tuelewe ipi.?
 
naomba maana ya neno "kanyaboya"kama lilivyotumiwa na mensen selekta,na maana ya neno "fyatanga"
Kanyaboya ni neno la Kiswahili linalotokana na jina la mchezaji wa zamani aliyesajiliwa na klabu moja kubwa hapa nchini, akiitwa Kanyabwoya, lakini akawa mbovu kupita maelezo!

Ikawa inasema huko mitaani kuwa hiyo timu imeuziwa Kanyaboya, jina likaanzia hapo!
 
Back
Top Bottom